Ana maana Serikali haina fedha za kulipa mishahara na NMB wameikopesha.
Kuna uhusiano gani na title yako? Jaribu kuyaconnect mkuu!
NMB itaendelea kulipa mishahara mpaka lini?
kwa sasa ndio inalipa watumishi wote wa serikali mishahara. Kuna overdraft a/c maalumu kwa shughuli hio.