Bank M Kukusanya Kodi kwa niaba ya TRA - Wao wanapata nini?

blog1.jpg


Mwanakijiji are you really serious about corruption iliopo TRA au unapima joto?
 
Mkuu hapo mwanzo umenena vyema sana...ila umekuja kuharibu hapo kwenye maandishi mekundu!!!
Tukijenga utamaduni wa kusubiri mpaka Chadema waquestion issues muhimu kwa taifa letu, tutakua ni kama kutwanga maji kwenye kinu!
Kama unafahamu na kuzielewa haki zako, wewe kama mtanzania unapaswa kuuliza na kutafuta ukweli wa mambo.
Mkuu husisubiri Chadema wafanye iyo kazi!!! Chadema wamejitahidi sana kuamsha watanzania ili waweze kuelewa haki zao..sasa kama hadi sasa hujaamka..kazi ipo!!!

Nimekupata, but I can assure you wewe na mimi tukiuliza under the so called mwananchi tutajibiwa 2030 (baada ya mchakato!) but kama mimi na wewe tukiuliza under the name CHADEMA utasikia wanajivua magamba! It works better that way!
 
Love them or hate them, customer service ya Bank M haina mfano Tanzania..wanafunga saa 2 usiku na 7 days a week including holidays

inanikumbusha enzi za GREENLAND BANK
 
Bongo bana...How is it that an MP is also a director of a Bank? Isn't there confilict of interest? If you ask me that shouldn't be the case. What if a bill comes into debate, for example..restricting how banks charge fees. I dont think it matters whether the MP is in a specific commitee regulating banks or not. Because ultimately the bill will come to the entire house for vote. it is clear from the get go where Nkono.s vote will go.
Katiba yetu siyo tu haifai, ni ya kuchanwa na kutupwa.


Hii ndo bongo mkuu. Mkulu anafanya sana ziara nchi za nje kama Marekani, Uingereza n.k. Lakini cha ajabu sijui uwa anajifunza nini katika ziara hizo!!!
Kuna wanasiasa wengi sana ambao wana sura mbili (siasa na biashara) na ambao kuwa katika mgongano wa kimaslahi ni jambo ambalo halikwepeki!!!

Ebu cheki hapa What Constitutes a Conflict of Interest? | eHow.com

To avoid conflict of interests, kuna kitu inaitwa blind trust Blind trust - Wikipedia, the free encyclopedia
though sipendi sana iyo source, but at least mtu anapata some clues.....

Sasa hawa wanasiasa wetu wanapaswa wafanye mambo kama haya...nakumbuka mkulu katika moja ya ahadi zake aligusia sana suala la kutenganisha siasa na biashara, akisema atahakikisha anaweka mazingira ya mambo hayo kutenganishwa...lakini sijui amefikia wapi katika suala hili.

Kweli katiba mpya ya wananchi itaweza kuweka kwa uwazi kabisa suala la kutenganisha siasa na biashara ili kuepusha kuwa na wanasiasa wanatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.

Asante!
 
Ulikwishaona Nyani wanakabidhiwa kulinda shamba la mahindi alafu wanarukaruka na kushangilia kuwa wanalinda mahindi vyema mpaka yavunwe bila kupotea kwa hata punje moja!

Hayo majina yanaweza kukufanya uchanganyikiwe kabla hujasoma mkataba wao! Mkono + Wahindi wa Sumaria Group!, Wahindi wa Alpha Group!, Patel wa BMTL, BMTL ndio walionunu zile mashine mbovu ambazo TRA wanalazimisha Watanzania wazinunue kuwa TRA itawarudishia fedha za kunua machine!?

Nadhani kama kuna chombo kinachoweza kukusanya kodi kwa ufanisi zaidi ya TRA hii ina maana TRA wanatutangazia na kutuwashia taa kuwa wao hawaiwezi kazi tuliowapa! hii lazima iendane na TRA overhaul, kupunguza wafanyakazi maana sasa hawana kazi hatuwezi kuwalipa bure! kubadili huo uongozi uliokiri kushindwa au la waweke wazi mikakati na mipango yao na hiyo Mkono Bank,

La kupunguza wafanya kazi halina mjadala wakati tunasubiri kusoma huo mkakati wao na Mkataba na Bank M.
 
Kazi ya kukusanya mapato ni ya TRA..kama kazi imewashinda ni kufukuza wote, kui-overhaul na kui-reform mamlaka; then tunaanza upya na watendaji wapya ambao ni wawajibikaji na hawajachafuliwa na ufisadi ulikithiri Tz
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Huyu Mkono nafikiri atakuwa mwembamba sana, maana watu wembemba ndo huwa wanaongea kwa kutunisha misuli ili nao waonekane wako fiti. Jamaa yuko je huyu?

Misuli ipi? usije kuwa unaongelea ya sehemu za siri! lol
 
Nimekupata, but I can assure you wewe na mimi tukiuliza under the so called mwananchi tutajibiwa 2030 (baada ya mchakato!) but kama mimi na wewe tukiuliza under the name CHADEMA utasikia wanajivua magamba! It works better that way!

then things are wrong..because it seems our government doesn't fear the public..the public fears the government!!!!
hapo mkuu ndipo penye tatizo hapa TZ...kwanini serikali hisiwe inajibu na kutekeleza hoja za wananchi mapema? je, sisi kama wananchi tunafanya nini ili kuifanya serikali iwe inajibu na kutekeleza hoja za wananchi mapema?

mkuu majibu ya haya maswali hayategemei nguvu za Chadema..bali yanategemea nguvu zetu sisi wananchi.
Ndio maana nikakwambia niliyokuambia pale mwanzo.

asante.
 
Kazi ya kukusanya mapato ni ya TRA..kama kazi imewashinda ni kufukuza wote, kui-overhaul na kui-reform mamlaka; then tunaanza upya na watendaji wapya ambao ni wawajibikaji na hawajachafuliwa na ufisadi ulikithiri Tz

Mnakosea, nafikiri hapa ni jinsi ya kulipa, wao hawakusanyi kodi, ila wewe unayedaiwa na tra unaweza kwenda kuwalipa tra kupitia huduma yao m bank, ukiona namna gani vipi unaenda kutafuta wengine wanayotoa huduma hiyo. Hawakusanyi kodi ila wewe ndo unaamua kutumia huduma yao ama lah

ambayo Mkono ameinadi ndani ya dakika 10 unakuwa umeshaonekana kule tra umelipa, ukiona dakika 10 nyingi unafiata ma broka wengine. "Tusiwe na wivu wa kike" by Mkapa
 
Mnakosea, nafikiri hapa ni jinsi ya kulipa, wao hawakusanyi kodi, ila wewe unayedaiwa na tra unaweza kwenda kuwalipa tra kupitia huduma yao m bank, ukiona namna gani vipi unaenda kutafuta wengine wanayotoa huduma hiyo. Hawakusanyi kodi ila wewe ndo unaamua kutumia huduma yao ama lah

ambayo Mkono ameinadi ndani ya dakika 10 unakuwa umeshaonekana kule tra umelipa, ukiona dakika 10 nyingi unafiata ma broka wengine. "Tusiwe na wivu wa kike" by Mkapa
Kazi ya TRA ni ipi sasa? huku ni kumwongezea gharama na kuzidi kumuumiza mlipa kodi..at the end of the day hawa mabroka wanadai 10% (au 50%?) yao..
 
Mwanakijiji hapa umepotosha live, ila umetupata kwa sababu hatusomi context yenyewe.


Naomba unisaidie; kuwa Bank M haitakusanya kodi kwa niaba ya TRA katika makubaliano ya aina yake? maana najua kuna utaratibu wa kawaida wa kukusanya kodi katika PoS na wachuuzi mbalimbali hukusanya kodi na wanatakiwa kuremit kwa TRA. Hili si jambo geni. Ila hili la Bank M ndio nataka kujua lina tofauti gani na hivi vingine? Nilivyoelewa mimi ni kuwa mtu akitaka kulipia ushuru au kodi fulani anaweza kwenda kwenye tawi la Bank M na kufanya malipo hayo kwendaa TRA, Bank M wanatumia miundo mbinu yao kuwasilisha fedha hizo TRA ndani ya dakika tano.

Hivi ndivyo au sivyo?
 
blog1.jpg


Mwanakijiji are you really serious about corruption iliopo TRA au unapima joto?

Nazungumzia Bank M. Ya TRA yatarudi kwenye anti-Chaggaism movement - angalia post ya TRA ambayo unajua asili yake na michango yako mingi kule. Nadhani yaweza kuwa ni mwendelezo wa ile ile ya TRA tena.
 
then things are wrong..because it seems our government doesn't fear the public..the public fears the government!!!!
asante.

One the red - when the goverment fears the public it is democracy , when the public fear the government it is tryanny!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom