Hili libenki BM linaficha jina la mmiliki wake hasa ambaye retired presd. BM, ipo siku itjulikana
Sijui Watanzania wamechoka? Naona humu tunajadili kichwa cha habari, "Bank M: Connecting the dots" badala ya kujadili docs zilizowekwa humu na invisible.
Nchi inaongozwa na CHAMA CHA MAJAMBAZI watupu! Tusubiri mkono wa Mungu tu!
ebwana eeeh
haionekani vizuri kwani waweza kuiweka kama PDF doc?
Sijui Watanzania wamechoka? Naona humu tunajadili kichwa cha habari, "Bank M: Connecting the dots" badala ya kujadili docs zilizowekwa humu na invisible.
mimi huwa sikuzote swali langu ni moja tu!! baada ya kujua haya yote wadau tunafnya nini? maana kina slaa kila siku wanatuambia na sisi tunaendela kulalama hapa JF. What actions can we take?
hivi hatuwezi hata kutega ka bomu kwenye hiyo Bank M? ili kuwashtua watu kuwa tunachuki na mafisadi. at least hata ka bomu ka mafuta ya petroli!!!!
Hi report na hasa hasa majina ya wahusika wakuu, inatakiwa yapelekwe kwa Donors, esp EU, ikiwezekana wote wawekewe travel ban, pia kwa hao wakurugenzi wa bank zilizo husika wanatakiwa kuachia ngazi ili kulinda hadhi ya Banking Sector ya Tanzania, Hivi Prf Ndullu ana fanya nini BOT, wakati bank zilizo chini ya mamlaka yake/zake zinaongozwa na Mafisadi.
Waweza kutuwekea source pleaze???