Bank Kuu Tanzania: vyombo vya usalama fuatilia mtu huyu Salva Kazimoto

Mar 6, 2012
48
3
Kuna tetesi za baadhi ya maofisa wa BOT kujihusisha na rushwa kwa kutoa vibali vya biashara ya non banking kwa watu wanaokopesha watanzania wenzao kwa riba za juu sana na kuchangia umaskini kwa mtanzania.

Pana mtu anaitwa Salva Kazimoto ndiye mhusika mkuu mla rushwa naomba vyombo husika fanya uchunguzi na chukua hatua mara moja; tumechoshwa na wahalifu katika ofisi za umma.

Kuna ka ofisi pale jirani na Chuo cha Ardhi survey yule. Massawe anawaibia watu, kuchukua Form ya Kuomba mkopo lazima utoe laki moja ni non refundable uwe umepata au ukose mkopo laki imeenda. Na mara nyingi hatoi mkopo anakusanya tu laki kwa yeyote anayetia mguu.

Wapo wengi wa namna hii na BOT wamekaa tu wanaangalia kwani ndio wanufaika.

Nchi hii inaenda wapi jamani kamateni hawa wezi na kufunga jela.

Nawakilisha.
 
Haya mambo ya mikopo mbona ni makubaliano baina ya mkopeshaji na mkopaji Rushwa inatoka wapi hapa, kwanza aina ya mikopo inayotolewa na masawe haiwi supervised na BOT, Huyu anapata leseni kutoka wizara ya biashara na viwanda.

Labda kama unabeef na Masawe na huyo Kazimoto, lakini kwenye hili binafsi sioni unataka nguvu ya UMA iingilie namna gani?

Zaidi ni kwamba, Masawe analazimika kuweka charges nzito nzito kama hizo sababu anatoa mikopo katika mazingira magumu sana, watu wanachukua pesa alafu wanasepa tu utafikiri hakuna serikali kusimamia utekelezaji wa makubaliano ya kibiashara.

Zaidi tena, wew kwa masawe umefata nini wakati mabenki yamejaa hapa mjni, ukiona haukopesheki kwa mabank basi ujue saizi yako ni mashark kama masawe, FINCA, PRIDE, BRACK,Karamagi anayo, Uncle Liyumba anayo pia, mimi pia natoa 10% per month ila hakuna processing fees kama hizo za masawe.

Suluhisho la matatizo yote haya ni kuwa na serikali inayoongozwa na watu ambao hawafikirii namna ya kuleta unafuu kwenye maisha ya wananchi wake, katika hili, kuweza kuweka mazingira ya biashara yatakayowawesesha wananchi kukopa pesa katika riba nafuu, of course na wakopeshaji waweze kuridhika kwamba wanaweza kupata chochote kwa kukopesha katika friendly terms.

Hivyo, jiunge kwenye harakati za kukisukumiza CCM shimoni, ama sivyo unapoteza muda wako bure, kama ni BOT pale hakuna mtu wa kumshughulikia mwenzake sababu hakuna anayejua nani kaletwa na nani? we unadhani hao wenye madaraka hawayapendi? what if Kazimoto anaaffiliation na Ritz1, au dada yake?

Na kama umeishachukua mkopo huko usidhani utamfunga Gavana Masawe kwa kuja kumchafua huku, wewe subiri siku ya rejesho ifike upeleke pesa zake, au ilikuwa ni leo???
 
loan sharks kama masawe wapo kwa sababu moja tu: benki zetu bado zina matatizo sana.
 
hoja yako zuri sana, hila umeandika ukiwa umepanda tipa nyuma nin?


Kumbe SUALA la mishahara mikubwa siyo tija? Hao BOT wote wachunguzwe ndo wanatishia USALAMA KWA rushwa zao, pamoja NA kuwa the most pampered workers in Tanzania
 
Kuna tetesi za baadhi ya maofisa wa BOT kujihusisha na rushwa kwa kutoa vibali vya biashara ya non banking kwa watu wanaokopesha watanzania wenzao kwa riba za juu sana na kuchangia umaskini kwa mtanzania.

Pana mtu anaitwa Salva Kazimoto ndiye mhusika mkuu mla rushwa naomba vyombo husika fanya uchunguzi na chukua hatua mara moja; tumechoshwa na wahalifu katika ofisi za umma.

Kuna ka ofisi pale jirani na Chuo cha Ardhi survey yule. Massawe anawaibia watu, kuchukua Form ya Kuomba mkopo lazima utoe laki moja ni non refundable uwe umepata au ukose mkopo laki imeenda. Na mara nyingi hatoi mkopo anakusanya tu laki kwa yeyote anayetia mguu.

Wapo wengi wa namna hii na BOT wamekaa tu wanaangalia kwani ndio wanufaika.

Nchi hii inaenda wapi jamani kamateni hawa wezi na kufunga jela.

Nawakilisha.

sasa huyo jamaa mbona hujasema ni nani na yuko wapi? anafanya nini ili wapate pa kuanzia
 
Back
Top Bottom