Bank Card replacement kwa sababu ya kusahau PIN ni wizi wa wazi

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Hii system ya benki za Tanzania kukupatia kadi mpya kwa gharama ya Tsh. 10,000 ati kwa sababu imekuwa blocked kwa kuingiza wrong PIN number ni wizi wa waziwazi kabisa. Card bado mpya kabisa, kwa nini wasiwe ni mechanism ya kumtumia mteja PIN number mpya?<br />
Huu ni wizi ambao wateja tumeukubali bila kuchukua hatua zozote kupitia card products.
 
Hivi ingekuwaje kama benki zingekuwa nauwezo wa kutengeneza pin kwa kadi ambazo zikokwenye mzunguko? Kama mtu angeweza kuchukua kadiyako na kuwaambia benki kasahau pin kisha wakamtengenezea! Naamini unajua nini kingetokea!
 
Sishangai kupewa kadi mpya,mimi niko exim na niliambiwa itachukua miezi saba,duh
 
Kama umekosea kuingiza PIN mara tatu lakini unaifahamu PIN, basi PIN yako inaweza kubadilishwa au card yako inakuwa unlocked iweze kutumika tena.

Kama umesahau kabisa PIN, basi PIN haiwezi kubadilishwa kwenye kadi na inabidi upate kadi mpya. Hii ni kwasababu ya jinsi hizi kazi zenye chip zinavyofanya kazi, unapoingiza PIN kwenye machine machine inaiuliza kadi(Ambayo inahifadhi PIN in encrypted form) kama pin ni sawa, kadi ikisema NO hakuna kinachoendelea baada ya hapo, ikisema YES ndo unaweza kuanza function kama za kubadili PIN.
 
Hivi ingekuwaje kama benki zingekuwa nauwezo wa kutengeneza pin kwa kadi ambazo zikokwenye mzunguko? Kama mtu angeweza kuchukua kadiyako na kuwaambia benki kasahau pin kisha wakamtengenezea! Naamini unajua nini kingetokea!
<br />
<br />
nadhani mtoa mada hujamwelewa, yeye kashaur utaratibu wa mteja kutumiwa namba ya siri na sio kupewa mkononi..na hyo inawezejana tena ni safe kabisa ikiwa bank itakua na full database ya wateja wake. Mana pale unapoomba kufungua ac unalazimika kutoa contact details ie phone number email na post box number. So hz information zaweza kutumika kutuma pin code when lost. Na mteja hatotakiwa kutoa contact details pindi akitoa taarifa ya kupotelewa pin ili kuepuka udanganyifu.
 
Back
Top Bottom