KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Bora lowasa kuliko pinda kwani pinda umewaangusha wananchi wako,kikwete umeshindwa kuonyesha nikitugani unakipa kipa umbele!Viongozi wasiyo weza kusema kitu juu ya sakata la mafuta wakati wanaona wananchi wanapata tabu!nibora mseme na mkemee tabia hii kwani msipo sema neno lolote ndo mwanzo wakuwa watu wanajiamlia wanavyotaka kwani wanajua serikali ni legelege.