Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Yani katika madai yote hili la mshahara ndo amesisitiza? Wakati hili lina majibu rahisi hata kwa hao wazee tayari wanajua nini ameongopea?
Nataka nisikie majibu yao maana njia panda..........................hasa kwa jinsi ambavyo JK hatakuwa na pakujibia ukiachilia mbali hakujibu hoja ila vijembe tu. Maskini Shein, alikuwa hana hata face to smile.
Nataka nisikie majibu yao maana njia panda..........................hasa kwa jinsi ambavyo JK hatakuwa na pakujibia ukiachilia mbali hakujibu hoja ila vijembe tu. Maskini Shein, alikuwa hana hata face to smile.