Miss Pirate
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 305
- 74
Kuna jamaa walikuwa wanavuta bangi, kiberiti kikaisha. Wakamtuma mwenzao mmoja nje akatafute kiberiti, yule jamaa aliyetumwa akatoka akazunguka na kurudi tena ndani kwa wenzake akawauliza 'jamaa mna kiberiti mniazime?'
Wenzake wakamjibu, 'kaa usubiri kuna mwenzetu tumemtuma'
Wenzake wakamjibu, 'kaa usubiri kuna mwenzetu tumemtuma'