Jamaa mmoja alikuwa anavuta bangi,sasa kwa bahati mbaya msokoto ukazima.alikuwa na njiti 3 za kiberiti tu zimebaki. akijaribu kuziwasha,
1 na 2 havikuwaka.bahati nzuri cha 3 kikawaka
bangi ni noma!kuna siku moja,nilikuwa sehemu fulani tumekaa nje mida ya saa 8,mchana,nikaona jamaa anatoka ndani ananyata huku ameshika chemli,inawaka eti anaona giza!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.