Selaa ze dodiii
Member
- Dec 19, 2011
- 11
- 3
Jamaa mmoja fundi baiskel aliyekua na mke na mtot m1 2 afanya maajab usiku m1 n baada ya jamaa kuota usiku na kumchukua mtoto wake mchanga na kumdumbukiza ndani ya karai lilokua limejaa maji akijua ni tipu ya baiskel cjui alikua anaiotea kazi yake!