jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
nilipata fursa ya kutembea bandari moja katika nchi fulaani..nikakuta kazi wanazofanya ni kupakia mizigo kwenda nchi nyingine kutoka kwenye viwanda vyao..pia nikatembelea bandari ya dsm yenyewe hiko busy kushusha mizigo kutoka nchi nyingine mpaka nafasi inakosekana ya kuweka mizigo..
Je tutandelea mpaka lini kuwa soko la viwandani vingiene..
Mwl.Nyerere alisema huwezi kuwa na uchumi imara kama hakuna viwanda endelevu..sasa viwanda vyote chali..tumebakiza magofu tupu..
Shida ya Tanzania nini hasa?
Je tutandelea mpaka lini kuwa soko la viwandani vingiene..
Mwl.Nyerere alisema huwezi kuwa na uchumi imara kama hakuna viwanda endelevu..sasa viwanda vyote chali..tumebakiza magofu tupu..
Shida ya Tanzania nini hasa?