kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Wataalam wa uchumi kutoka South East Asia wanatuhakikishia kwamba Bandari ya D'Salaam PEKE YAKE inatosha kuingiza mapato ya kuendesha chumi za Burundi, Uganda, Rwanda na Tanzania yenyewe KWA PAMOJA.
Kinachotakiwa ni binadamu wenye mchanganyiko sahihi wa ELIMU, UPEO na UZALENDO (ambao hawapatikani Afrika Mashariki, hasa Tanzania).
Je, ni kweli hatuna watu wa kufanya kweli? hii ni laana au?
Kinachotakiwa ni binadamu wenye mchanganyiko sahihi wa ELIMU, UPEO na UZALENDO (ambao hawapatikani Afrika Mashariki, hasa Tanzania).
Je, ni kweli hatuna watu wa kufanya kweli? hii ni laana au?