Hapa ni Mto wa Mbu mkoani Manyara!
Kwa wale wala ndizi mnao toka hukooo!!
Hapa wapi?View attachment 35698
Naona kama na mimi nimeona sehemu hiyo, ni pale kabla ya mto KiwiraUkipita, Kiwira bus stand, Tukuyu, Mbeya, that is kama unatokea tukuyu
Hapo ni Ntokela, Kiwira, Rungwe , Mbeya= Mabhifu zote mia, chukulia na watoto
Ulinifikishia ule ujumbe wangu kwa kina mwaipungu?Wakuu hapo ni baada ya Kiwira, kabla ya mto Kiwira just before kuanza kupanda milima sehemu inaitwa "Uwanja wa ndege".
Kama unavyoona ni mvua siku hiyo(kwenye kioo) na nilipaki kununua ndizi kwa ajili ya safari ya kurudi Dar siku ya pili.
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35698&d=1313821317<!-- google_ad_section_end -->
Ulinifikishia ule ujumbe wangu kwa kina mwaipungu?