Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka nchi za Afrika kutozuia haki za mashoga kwani ni ubaguzi wa kijinsia. Amesema hayo kwenye mkutano wa AU ulioanza uko Ethiopia. JK ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria mkutano huo.
Source : TBC1 habari ya saa 2 usiku.
Source : TBC1 habari ya saa 2 usiku.