Nenda kapumzike katika bar ya jirani utaona live hayo mambo ili umkomoe my wife wako aache kuwa vuvuzelaMmmh mwenzenu nusura nishushwe kitandani na my wife wangu eti naangali ponograph
Mwenye macho haambiwi ona!Asa mbona haijakua? Umekuzia studio gani jirani?
umeona hilo eeh... anaweza akaangalia hadi anapoteza mood atakapo kugeukia hapo pembeni...Please bamsapu kama umeiona hii.. basi usiangalie muda mrefu jamani..
wee.. wee.. nahuyo uliyemshikilia kwenye avatar yako hapo utampeleka wapi???? wengine tuachie na sie basi ebooo...?!!!!Kitu mwake mwake mwake babaake.... hizi makitu ndi tunazipenda, wapi iko hii niitafute???:help: