figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
pale ni kinyama.wewe ushawahi sikia bamaga ya mwenge?mia
Pale ni Mikocheni, kwani chuo cha ustawi wa jamii wana refer kama kipo wapi.
Kishumundu je?
Bamaga ni Bamaga hivyohivyo,
Mwenge inashia Maryland Bar
Huijui mwenge usidanganye. kwanza nikusaidie kuna mwenge NHC, kuna Mwenge magorofani (ya Jeshi na ya TRA ambayo zamani yakiitwa ya EAC) na ya mwisho ni mwenge kijijini kwa hiyo nyuma ya Bamaga ni mwenge kijijini hivyo basi bamaga ipo mwenge na Afrika sana ipo mwenge zamani ikiitwa ushirika (ofisiza wanaushirika wa mwenge kijijini)
We ndo mgeni kweli BAMAGA ni mpk kati ya mwenge sinza na mikocheni au unafikiri bamaga ni baa
Babaga ipo Mwenge!
We ndo mgeni kweli BAMAGA ni mpk kati ya mwenge sinza na mikocheni au unafikiri bamaga ni baa
Bamaga ni Mwenge sio Sinza wala Knyama.
Pale ni Mikocheni, kwani chuo cha ustawi wa jamii wana refer kama kipo wapi.
Title deed za pale etc zinaonyesha ni kijitonyama....
mkuu mikocheni ni upande wa pili wa barabara ya bagamoyo.mia