Fisadi Mtoto
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 639
- 79
Lukuvi ana marafiki na anayo haki ya kushiriki kwenye shughuli yao yeyote mradi haivunji sheria.....after all yeye sio mamlaka ya uteuzi hivyo hawajibiki ukimbia marafiki zake eti kwa kuwa wameteuliwa na wanaagana......mnadhani kujiuzuru ni kula ubuyu