Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Acha uongo na fitina wewe, Missana amekuja Marekani December 2005 na muda wake unaisha December 2011, Huo mwaka 2002 Missana alikuwa chuo kikuu cha Dar es salaam,
Wewe ndiye uache uongo ndugu kwa kuzungumza kitu usichokijua kwa sababu za kiushabiki tu.