Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Wizara ya mambo ya nje ina utaratibu wake wa kubadilisha maafisa wa ubalozini kila baada ya miaka 4 au 5... Cha kushangaza ni kwamba kuwa watu wanapelekwa kwenye baadhi ya balozi zetu nchi mbali mbali cha kushangaza wengine wanarudishwa nyumbani pasipo kumaliza miaka yao waliopaswa kukaa huko.. Na wengine wanakaa zaidi ya miaka 10 kinyume na utaratibu wa wizara ya mambo ya nje kwa mfano
Mr. Abbas Abeid Missana
Minister Plenipontentiary, Consular Affairs
Bw.Abbas Abeid Missana toka amekwenda New York mwaka 2002 hadi leo hajarudi..
Mr. Abbas Abeid Missana
Minister Plenipontentiary, Consular Affairs
Bw.Abbas Abeid Missana toka amekwenda New York mwaka 2002 hadi leo hajarudi..