Jamani je ni lini tutasikiwa ubalozi wa TZ unatoa masikitiko kwenye magazeti kama dada yetu kakatwa na mapanga na ubalozi unanyamaza kama hakuna lolote lililo tokea.
Je ubalozi una kazi gani kama hautajali Watanzania, hata pole tu hatujaisikia!. Tunajua hakuna pesa lakini pesa siyo kila kitu Ubalozi unatakiwa kuonyesha upendo kwa wananchi wake na kufatilia upelelezi wa hizi kesi kuhakikisha kwamba zinafuatiliwa.
Na siyo ufuatiliaji tu ubalozi unatakiwa kuwasiliana na Wananchi wa kitanzania hapa kuwaeleza uchunguzi wa polisi umefikia wapi. Ubalozi wetu umekuwa haujiusishi kwa kisingizio cha pesa, lakini pesa siyo tatizo hapa watu hawajaomba pesa ubalozini bali upendo tu ambao umekuwa mgumu sana kutoka ubalozi wetu wa DC.
Je ubalozi una kazi gani kama hautajali Watanzania, hata pole tu hatujaisikia!. Tunajua hakuna pesa lakini pesa siyo kila kitu Ubalozi unatakiwa kuonyesha upendo kwa wananchi wake na kufatilia upelelezi wa hizi kesi kuhakikisha kwamba zinafuatiliwa.
Na siyo ufuatiliaji tu ubalozi unatakiwa kuwasiliana na Wananchi wa kitanzania hapa kuwaeleza uchunguzi wa polisi umefikia wapi. Ubalozi wetu umekuwa haujiusishi kwa kisingizio cha pesa, lakini pesa siyo tatizo hapa watu hawajaomba pesa ubalozini bali upendo tu ambao umekuwa mgumu sana kutoka ubalozi wetu wa DC.