Balozi Radhia Msuya: Balozi Wetu Mpya South Africa!

Mkuu FMEs or Anyone out there,
Hebu tuhabarisheni juu ya wasifu wa Balozi Radhia Msuya kama unafahamika.

- Nimjuavyo kwa kifupi ni msomi wa Mlimani ni mchapa kazi sana, huko nyuma amefanya makosa mengi sana, lakini toka alipopelekwa London alijirekebisha na kuanza ku-behave kama inavyotakiwa, binafsi ninampa kudos kwa the transfomation,

- In life, kila bin-adam ana deserve a second chance in this case it worked perfectly, ninamtakia safari njema na kazi njema sana ya kulijenga taifa letu.

Respect.


FMEs!
 
Wa UK anakuwa nani? Au bado hajateua?

- According to the dataz, kuna wengine wawili pia wanaula soon nao ni Balozi Taji anayekwenda somewhere in Africa, na Balozi Mlalambugi naye anaula huenda akawa anaenda huko UK.

Respect.


FMEs!
 
Hongera Dada Radhia etc etc, by the way JK hamuogopi Zuma? na mbona mabalozi wengi ni watusi, hakuna wahutu? sefue, maajar, msuya-mtengeti, nk
 
hata wewe unafikra za kibaguzi.....

BTW...hongera Radhia.
mimi si mbaguzi wa kabila wala dini ila ningependa system iwe ya haki kwa wote ndio maana kwenye baraza la mawaziri Raisi amejaribu kutendea haki mikoa yote, sasa kwenye ubalozi kama uteuzi ni ridhaa ya Raisi basi ni vizuri akajaribu kutenda haki kama alivyo fanya kwenye mawaziri, na kama ni competence/career ya mtu basi hizo taratibu ziwe wazi na za haki kwa wote.
mfano obama ni mdengeleko lakini anajaribu ku-balance kwa kuchagua wahispania/latino, jews nk nk.
na hata wakati wa mwl kwa sababu alitaka kutenda haki/ alijaribu kutenda haki hivyo kufaulu darasa la saba aliweke viwango tofauti vya maksi mfano mtu wa sehemu fulani akipata 30% amefaulu, wa Darisalama ni 50%
 
Hongera Dada Radhia etc etc, by the way JK hamuogopi Zuma? na mbona mabalozi wengi ni watusi, hakuna wahutu? sefue, maajar, msuya-mtengeti, nk
Mkuu August,

Hata wewe unaingia kirahisi hivyo kwenye mijadala ya hivyo? Kwasababu ni mwanamke basi tayari tunaingiza mambo ya vitandani?

Tuwape heshima wanawake jamani.
 
- According to the dataz, kuna wengine wawili pia wanaula soon nao ni Balozi Taji anayekwenda somewhere in Africa, na Balozi Mlalambugi naye anaula huenda akawa anaenda huko UK.

Respect.

FMEs!
FMES,
Nafikiri Kallaghe toka ubalozi wa Canada ndiye anakuja UK kama hakutatokea mabadiliko.
 
Bules,
Radhia hayuko UK na badala yake yuko TZ. Alihamishwa UK miaka kama miwili iliyopita na kupewa cheo cha ubalozi lakini akaachwa pale foreign.

Ni kweli ni mdogo wake mama Migiro. Alipokuwa UK, alikuwa ndiye msaidizi mkuu wa mama Majaar.

The justice shouldnt not only be done but must be seen to be done, JK 2naelekea wapi? hakuna wengine, au mshageuza taifa la kifalme, tuambieni niwarudishieni ID yenu ya ku vote, imejaza wallet yangu for nothing
 
Teuzi hizi zingepita angalau kwenye Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Hawa mabinti wa Mtengeti wanamkosha sana JK wetu.

unajua mimi nilikuwa najiuliza mtengeti hii ni ile ya Asharose Migiro kweli nyota imewawakia
 
Mmemsahau na Mwantumu Malale alikuwa katibu mkuu wa wizara wakati fulani, siku hizi sijui yuko wapi, ni Mtengeti pia, naye alipendelewa?
 
Radhia hongera japo simjui.

Jamani eheee Hivi Tanzania ina maximun stay ya balozi kwenye kituo?
Na mpaka hivi leo tuna mabalozi wa kudumu wa ngapi?
 
Mmemsahau na Mwantumu Malale alikuwa katibu mkuu wa wizara wakati fulani, siku hizi sijui yuko wapi, ni Mtengeti pia, naye alipendelewa?
Nafikiri rafiki yangu una miss-the point sio kwamba Malale au Radhia hawafai, wote ni competent, na Deputy wa UN, tatizo wanalo weka ni angalizo wa mfumo wetu wa uteuzi.
kwamba kunakuwepo na ushindanishaji wa watu wa same level vizuri ili mwenye kufaa apate hicho cheo?
Halafu unaelewa kitaratibu si vizuri ndugu wakafanya kazi pamoja, mfano waziri na katibu mkuu, wote ni ndugu moja au wa common interest ambayo ina weza kuwa kwanza wengine.
 
Mkuu August,

Hata wewe unaingia kirahisi hivyo kwenye mijadala ya hivyo? Kwasababu ni mwanamke basi tayari tunaingiza mambo ya vitandani?

Tuwape heshima wanawake jamani.
usichukulie ki hivyo, sio kama zile degree za........, hiyo ilikuwa ni utani tu kwa Bwana Zuma, kwa sababu ana nguvu za ziada, hivyo anajaribu kupunguza shinikizo la damu kwa kufanya mazoezi kwa kwenda mbele, na haihusiani na mtanzania yoyote kuwa na uhusiano na Bi Radhia
 
Si vibaya ikiwa CV za mabalozi walioteuliwa na watakaoteuliwa karibuni zikawekwa hapa ili tujaribu kuziangalia
 
...
kwamba kunakuwepo na ushindanishaji wa watu wa same level vizuri ili mwenye kufaa apate hicho cheo?
Halafu unaelewa kitaratibu si vizuri ndugu wakafanya kazi pamoja, mfano waziri na katibu mkuu, wote ni ndugu moja au wa common interest ambayo ina weza kuwa kwanza wengine.

Una uhakika gani kwamba hakukuwa na ushindani, au ulitaka nafasi ya kazi ya Ubalozi nchi za nje itanganzwe kwenye daily news, the gurdian, raia mwema na rai?


Nakumbuka Mwantumu ilibidi ahame ofisi Asha alipoteuliwa kuwa waziri wa maendeleo ya jamii....

Lakini, inakuwaje kwenye couple kama hizi Mr and Mrs Museven wanafanya kazi pamoja, Mr and Mrs Malecela wako Ofisi moja, Mr and Mrs Sita. Au ndoa sio undugu?
 
Si vibaya ikiwa CV za mabalozi walioteuliwa na watakaoteuliwa karibuni zikawekwa hapa ili tujaribu kuziangalia


Unless there are minimum established qualifications or criteria for selection, Else there is no value of knowing them..

Tutaishia kujadili sura tu, dini, urefu wa pua, mahali anapotokea m2 bla bla bla etc. Remember kikiletwa kitu hapa jamvini lazima kijadiliwe tu.
 
JK na hata marais wengine wakilaumiwa siyo sawa kwa sababu tatizo la Tanzania na afrika kwa jumla ni sheria mama (katiba) ambayo inampa uhuru mkubwa sana rais kama mungu vile. Kafanye ujinga kama huu wa JK kule USA uone.
 
Una uhakika gani kwamba hakukuwa na ushindani, au ulitaka nafasi ya kazi ya Ubalozi nchi za nje itanganzwe kwenye daily news, the gurdian, raia mwema na rai?


Nakumbuka Mwantumu ilibidi ahame ofisi Asha alipoteuliwa kuwa waziri wa maendeleo ya jamii....

Lakini, inakuwaje kwenye couple kama hizi Mr and Mrs Museven wanafanya kazi pamoja, Mr and Mrs Malecela wako Ofisi moja, Mr and Mrs Sita. Au ndoa sio undugu?
naona ndugu yangu bado unachanganya mambo ya Mke wa Museveni kuna watu walilalamika, kama wewe ni mfuatiaji wa mambo utaona hilo.
La Mama sita na wengineyo ndio maana watu wana lalamikia huu utaratibu wa viti maalumu, kwa mke wa Malecela yeye kachaguliwa na Wapiga kura, kule same, namzee kachaguliwaq na watu wa Mtera. Sasa utaniuliza Janet nae si kachaguliwa na watu...., lakini yeye ni Nke wa Raisi publicity na mengineyo yanaweza kumpa unfair advantage dhidi ya wapinzani. na pia akishindwa ni aibu kwa Raisi.
mengineyo ninakuachia wewe mwenyewe uchambue kama katika watanzania wote
je katika mabalozi tuliokuwa nao hao ndio walio bora, na tusiji-limit kwa hawa walio chaguliwa juzi maana itakuwa kama mtu una uadui nao. ili uone hiyo theory yako ya kwamba wana shindnishwa ni fanya kazi
 
Unless there are minimum established qualifications or criteria for selection, Else there is no value of knowing them..

Tutaishia kujadili sura tu, dini, urefu wa pua, mahali anapotokea m2 bla bla bla etc. Remember kikiletwa kitu hapa jamvini lazima kijadiliwe tu.

If a diplomat says YES, he means PERHAPS; If he says PERHAPS, he means NO; If he says NO, he is no Diplomat
Common denominators.They should be flexible

Even their common qualifications like Knowledge ie.combination of information,training,intuition etc are worth for discussions
As the tools that enable them to act adequately even under unpredictable situations


Teh teh teh !

Now Seriously: Lazima mtu ambaye anakabidhiwa dhamana ya kuongoza mission yetu nje awe na uwezo wa kuisimamia kweli.Nimeshauri tu ila ni muhimu
 
Back
Top Bottom