kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Kabonde,
Hata mimi napenda mabadiliko. Sina ninayemchukia. Naipenda sana nchi niliyozaliwa, na niliyoyaandika ni fikra zangu huru. Nimesukumwa kuandika kutokana na mapenzi yangu kwa nchi niliyozaliwa. Kama hilo ni kosa, nitaendelea kulifanya.
majjid, umeulizwa hivi: HEBU TUTAJIE NANI WANAHUBIRI SUALA LA UDINI? HEBU TOA EVIDENCE... USITOE MANENO YA JUMLAJUMLA KAMA wengineo tuwasikiao