Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
Mkulu Balozi Mwawado,
Mkuu vitu vyako humu ndani ya JF vina-amount to the level ya uablozi balozi, najua kuwa wewe ni mjasiriamali, lakini la Balozi Mwawado lina-fit sna ndugu yangu, anyways shukrani kwa wasifu wa marehemu.
kweli anatoa vitu vya kibalozi lakini angalia isije ikadhaniwa mwawado wa jf ndio yule balozi kassim mwawado anayetuwakilisha egypt nadhani. inaweza ikawa taaabu kweli!