Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
''there is no black italian''..........they once said
Waarabu wanatizama ufanyaji kazi sio kama wazungu hata uwafanyie kazi vipi kwao utabaki kiwa Kima tu, na ndio wao waliokuja na concept ya kuwa eti binaadamu walianza kuwa kima, na michoro yote ni watu weusi!! Mnawathamini wazungu hayo ndio malipo
huu ujumbe ''mweupe na unafanana na NGURUWE'' ungemfikia balotelli ungemsaidia sana.Hakuna shida mtu kukutania kuwa wewe ni black na kama nyani!. well, huna sababu ya kukasirika kwa kuwa wewe siyo nyani! lakini pia unapata shida gani kumwambia au kuwambia wanaokutania kuwa wewe ni mweupe na unafanana na NGURUWE? Kwa ulinganishi nyani ana akili zaidi kuliko nguruwe kwa ufahamu na matendo yao!
"Only evil, Godless men would make the color of a man's skin the criteria for granting him civil rights."
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, 1960 . The first President of Tanzania and author of several books.
chilubi, Waarabu ndi hovyo hawako mbali na hao wazungu. nchi za Iran na hata hapo Falme za kiarabu Africans wanawekwa daraja la pili. Kama wewe ni houseboy utakula baada ya wao kushiba tena isolated. Kama ni housegirls sanasana atabakwa. Nao wanatumia maneno hayo hayo ya kibaguzi kama mtu mweusi ni mchafu, ana magonjwa na n.k. Kitu kilichobaki ni kwa Africans kupendana wao kwa wao, kwani mwarabu au mzungu tunaowajua wana nini cha zaidi??? tungeacha ufisadi tukajenga uchumi imara kwenye nchi za kiafrika mbona watatueshimu?Mi huwa nawashangaa wale wenye chuki na waarabu, na wakaaminoshwa kuwa waarabu ndio waanzilishi wa slave trade kisha eti wazungu ndio waliopoga marufuku!! Ukweli uko wazi, kwa wale wanaowathamini wazungu mambo ndo kama hayo, ubaguzi upo wazi, kwenye magazeti hadi kwenye viwanja vya soccer!!
Africa ni tajiri kuliko ulaya. Sema sisi ni maskini wa akili tu. Tunawapa wenyewe mali zetu halafu tunakwenda kuwaomba msaamda. Hakuna kitu ambacho hatuna. Ni akili tu na ubinafsi ndiyo unatudhalilisha.
haha...mbona mimi nimeona wabongo kibao wenye ngozi wenyewe wanajiita "weupe km waarabu", wengine "Mzungu",etc na hivyo kujiona kuwa wazuri. Au mbongo akijaribu mtaja binadamu mwingine kuwa ni mzuri basi lazima akazie "Yaani ni mweupe ..km mzungu/mwaarabu".Yaani mentality za watuma wa kambi 2.We nadhani ni kambi ya pili ya utumwa.Sijui unaongelea afadhali au? Umewahi kutana na msomali au mnyarwanda mbovu kuliko hata wewe?bado atakudharau hata kam umempita kila kitu. wazungu wajinga pia wapo, na wachache wema waliopo wana msaada zaidi ya hao wachache, hujaona wazenj wandharau wabara hata waliowapita kila?Mi huwa nawashangaa wale wenye chuki na waarabu, na wakaaminshwa kuwa waarabu ndio waanzilishi wa slave trade kisha eti wazungu ndio waliopoga marufuku!! Ukweli uko wazi, kwa wale wanaowathamini wazungu mambo ndo kama hayo, ubaguzi upo wazi, kwenye magazeti hadi kwenye viwanja vya soccer!!