Masikini Jeuri
Member
- Jan 13, 2008
- 37
- 4
Naona huyu jamaa labda bado hajapona vizuri, hawezi kusema ametumiwa. Yeye na hao anaodai wamemtumia wana tuhuma za kujibu. Kwa nini anakubali kutumiwa kufanya jambo ni la kuhujumu uchumi wa nchi? Ilitakiwa akatae wakati anaambiwa, kama alikubali basi anahusika moja kwa moja. Ataje tu hiyo timu yao.