achana na huyo mfuhai haf unasema amezikwa kwani amekufa? Acha kumtabiria kifo mnyalu wa watu
Hivi kama balali alikuwa mraia wa marekani then kwa sheria zipi zilimruhusu kuwa gavana aidha kama ni mtanzania then mpaka leo dual citizenship haijapitishwa hapa tanzania........ Hiyo yote kwa sababu amezikwa marekani ...... Naomba ujuuza