kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Habari wadau wa JF, naomba kufahamu ukweli juu ya kifo cha huyu jamaa aliyechota mabilion ya shilingi pale BoT, Mheshimiwa sana Balali hivi ni kweli alifariki au ni danganya toto? Nimediriki kuuliza maana kuna wadau wanasema yuko kwa Obama anakata mitaa kama kawa, wengine wanasema amefanyiwa plastic surgery, kwa hiyo amebadilika kidogo, hebu semeni ukweli.