Balaa lingine lamwangukia Dr Slaa

kashaga nikisema wewe ni taahira nakosea?

Huyu jamaa anayejiita Kashaga sijui analipwa Shs, ngapi na hawa mafisadi? Hata huoni aibu? Kumbuka wewe hauishi mbinguni shida zetu ni shida zako lakini always uko mbele kutetea mafisadi na kujaribu kuchafua hali ya hewa dhidi ya Dr. Slaa. Hii vita yako ni ngumu kweli kushinda, bora uachie ngazi mapema!!!!

Tiba
 
1. CCM walianza na gia ya ukabila......................wakashindwa.
2. Wakaja na chama cha msimu..........................wakashindwa.
3. Wakaja na Udini............................................wakashindwa.
4. Wakaja na ufadhili toka nje ya nchi.................wakashindwa.
5. Sasa wamekuja na ku-link Dk. Slaa na fisadiz.........guess what....This shall too pass.

Watakamata miti yote na magamba ya miti yote itateleza na wataangamia.

Ninamhurumia sana Nape, inawezekana akawa na dhamila nzuri kukomboa chama chake, lakini tatizo yuko kwenye chama ambacho kimeoza. Hawezi kufanya lolote zaidi ya kupiga gitaa na kuimba nyimbo zao. Mvuto wote aliokuwa nao wote umeanza kuporomoka. Unapokejeli haki na akili ya watanzania wa leo, huwezi kusalimika hata kidogo..........watch.
 
Balaa lingine limemwangukia katibu mkuu wa chama cha CHADEMA,baada ya kutuhumiwa na chama cha mapinduzi kuwa anatumika na mafisadi,hii inaweza chukuliwa kirahisi lakini ni swala nyeti ikizingatiwa Slaa amekuwa akijifanya kuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi,Slaa hana budi kukanusha hizi tuhuma au kutoa maelezo ya kujitosheleza kwasababu kukaa kimya inaweza kuleta tasfiri tofauti kwa wafuasi wake( silence means yes)
<font color="black">HABARI KAMILI</font>

CHAMA Cha Mapinduzi kimesema Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa na chama chake, wanatumiwa na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kujiuzulu wenyewe ndani ya chama hicho.


Akihutubia umati wa watu katika viwanja vya Mwembe-Kisonge Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kwa sasa watuhumiwa hao wameamua kutumia baadhi ya vyama vya siasa, magazeti na asasi za dini kujibu mapigo.


“Tumewapa miezi mitatu watuhumiwa wote wa ufisadi katika chama chetu wajiondoe wenyewe. Baadhi wanajaribu kupinga na kujibu mapigo kwa kutumia magazeti, vyama vya siasa na taasisi za dini...tunajua tutashinda na wao lazima waondoke,” alisema Nnauye.


Alisema, “Tumeandaa mkakati wa kusafisha chama kutoka ngazi za chini mpaka katika ngazi ya Taifa. Tumechunguza na tunajua wanaotakiwa kuondoka ndani ya chama chetu. Lakini baadhi ya watu wamejitokeza kutaja majina ya watuhumiwa ndani ya chama chetu, hiyo si kazi yao.”

Wewe Kashaga na Kupeng'e ni mashoga wa chama cha magamba
 
WanaJamvi,
Cheap politics haisaidii. Balaa gani hiyo? Kama ni balaa Dr Slaa kilipaswa kumshukia baada ya List of Shame niliyoitangaza MwembeYanga,Temeke, dar-Es-Salaam Tarehe 25 September, 2007. Siku hiyo mbele ya Polisi wengi wa Makao Makuu, FFU waliokuwa wametanda kila mahali, Usalama wa Taifa wenye Radio Masikioni dakika zote nilitaja, kwa kushirikiana na Lisu, Mkurugenzi wa Sheria Chadema, Mafisadi 11, katika Listi hiyo akiwemo JK. Rostam Aziz na Lowasa walikuwa kwenye Listi hiyo. Wako walionitishia kunipeleka mahakamani wakashindwa(leo baadhi yao wako mahakamani kwa tuhuma hizo hizo),JK akatangaza hadharani kuwa kelele za DR Slaa ni kama "kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba kulala" na matambo mengine mengi-Leo JK mwenyewe anatumia msamiati "Mafisadi aliokuwa ameukataa muda wote, na leo ameanzisha usanii wa " Kuitaka CCM kujivua gamba" kwa ajili ya Ufisadi. Sasa balaa lipi mwenye kuanzisha thread hii anaiona. Kama ni nape simshangai, kwani inawezekana 2007 alikuwa mdogo, na kwa hiyo namsamehe bure. Nani anamtumia nani Dr Slaa aliyewatangaza hadharani wote hao miaka, Dr Slaa aliyewataja hdharani miaka mitatu iliyopita, au Nape aliyeteuliwa juzi na kulewa mara madaraka na kusahau historia na au kulewa siasa ya makundi ndani mwao wenyewe? Dr Slaa hasumbuliwi na uchafu ndani ya CCM, hayo ni mambo yao. Wavue gamba wasivue ni shauri lao. Dr Slaa ninayosema, ambayo nimeisema consistently, "walipe fedha zetu watanzania, na bila ubaguzi wapelekwe mahakamani na hjatimaye gerezani kama ambavyo watanzania wengi wana[pelekwa kwa ajili ya "vijisenti vichache tu. Ni dhahiri Nape haelewi anachoongea, na au hajui historia au makusudi anapotosha. Narudia tena Ufisadi ndani ya CCM hautusumbui ni wa kwao wenyewe, watajua wanavyofanyiana. Kinachotusumbua ni ufisadi uliofanywa na Wana CCM na CCM yao (kama nilivyohusisha vijimemo vya Mangula na Malecela kwa Dr Balali, aliyekuwa Governor wa BOT) kwa rasilimali na Fedha za Taifa au kwa manufaa yao binafsi au ya Chama chao. Wanakazi kweli, kujivua Gamba pekee hakutoshi labda "wabadili na damu",kama hata hiyo itawasaidia tulikofikia.




Balaa lingine limemwangukia katibu mkuu wa chama cha CHADEMA,baada ya kutuhumiwa na chama cha mapinduzi kuwa anatumika na mafisadi,hii inaweza chukuliwa kirahisi lakini ni swala nyeti ikizingatiwa Slaa amekuwa akijifanya kuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi,Slaa hana budi kukanusha hizi tuhuma au kutoa maelezo ya kujitosheleza kwasababu kukaa kimya inaweza kuleta tasfiri tofauti kwa wafuasi wake( silence means yes)

HABARI KAMILI
CHAMA Cha Mapinduzi kimesema Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa na chama chake, wanatumiwa na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kujiuzulu wenyewe ndani ya chama hicho.

Akihutubia umati wa watu katika viwanja vya Mwembe-Kisonge Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kwa sasa watuhumiwa hao wameamua kutumia baadhi ya vyama vya siasa, magazeti na asasi za dini kujibu mapigo.

“Tumewapa miezi mitatu watuhumiwa wote wa ufisadi katika chama chetu wajiondoe wenyewe. Baadhi wanajaribu kupinga na kujibu mapigo kwa kutumia magazeti, vyama vya siasa na taasisi za dini...tunajua tutashinda na wao lazima waondoke,” alisema Nnauye.

Alisema, “Tumeandaa mkakati wa kusafisha chama kutoka ngazi za chini mpaka katika ngazi ya Taifa. Tumechunguza na tunajua wanaotakiwa kuondoka ndani ya chama chetu. Lakini baadhi ya watu wamejitokeza kutaja majina ya watuhumiwa ndani ya chama chetu, hiyo si kazi yao.”
 
WanaJamvi,
Cheap politics haisaidii. Balaa gani hiyo? Kama ni balaa Dr Slaa kilipaswa kumshukia baada ya List of Shame niliyoitangaza MwembeYanga,Temeke, dar-Es-Salaam Tarehe 25 September, 2007. Siku hiyo mbele ya Polisi wengi wa Makao Makuu, FFU waliokuwa wametanda kila mahali, Usalama wa Taifa wenye Radio Masikioni dakika zote nilitaja, kwa kushirikiana na Lisu, Mkurugenzi wa Sheria Chadema, Mafisadi 11, katika Listi hiyo akiwemo JK. Rostam Aziz na Lowasa walikuwa kwenye Listi hiyo. Wako walionitishia kunipeleka mahakamani wakashindwa(leo baadhi yao wako mahakamani kwa tuhuma hizo hizo),JK akatangaza hadharani kuwa kelele za DR Slaa ni kama "kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba kulala" na matambo mengine mengi-Leo JK mwenyewe anatumia msamiati "Mafisadi aliokuwa ameukataa muda wote, na leo ameanzisha usanii wa " Kuitaka CCM kujivua gamba" kwa ajili ya Ufisadi. Sasa balaa lipi mwenye kuanzisha thread hii anaiona. Kama ni nape simshangai, kwani inawezekana 2007 alikuwa mdogo, na kwa hiyo namsamehe bure. Nani anamtumia nani Dr Slaa aliyewatangaza hadharani wote hao miaka, Dr Slaa aliyewataja hdharani miaka mitatu iliyopita, au Nape aliyeteuliwa juzi na kulewa mara madaraka na kusahau historia na au kulewa siasa ya makundi ndani mwao wenyewe? Dr Slaa hasumbuliwi na uchafu ndani ya CCM, hayo ni mambo yao. Wavue gamba wasivue ni shauri lao. Dr Slaa ninayosema, ambayo nimeisema consistently, "walipe fedha zetu watanzania, na bila ubaguzi wapelekwe mahakamani na hjatimaye gerezani kama ambavyo watanzania wengi wana[pelekwa kwa ajili ya "vijisenti vichache tu. Ni dhahiri Nape haelewi anachoongea, na au hajui historia au makusudi anapotosha. Narudia tena Ufisadi ndani ya CCM hautusumbui ni wa kwao wenyewe, watajua wanavyofanyiana. Kinachotusumbua ni ufisadi uliofanywa na Wana CCM na CCM yao (kama nilivyohusisha vijimemo vya Mangula na Malecela kwa Dr Balali, aliyekuwa Governor wa BOT) kwa rasilimali na Fedha za Taifa au kwa manufaa yao binafsi au ya Chama chao. Wanakazi kweli, kujivua Gamba pekee hakutoshi labda "wabadili na damu",kama hata hiyo itawasaidia tulikofikia.

Psychologists have warned us to beware of folks who refer themselves in the third person. It is associated with egotistical folks who are suffering insecurities and are willing to go extra miles just to prove their worthiness in the society.
 
Psychologists have warned us to beware of folks who refer themselves in the third person. It is associated with egotistical folks who are suffering insecurities and are willing to go extra miles just to prove their worthiness in the society.

Oh really! Is it an absolute?
 
Few behavioral indicators are absolute kaka. Is it telling? Yes. Muheshimiwa doesn't even know that he is doing that.

I'm not sold on much of these behavioral theories, much less it coming from someone on the 'other' side.
 
huyu nape ni kilaza kuliko chiligati, naona naye kaja kuvunja record ya makamba katika uropokaji , kama wao wanaona kweli kuna mtu anafikia hatua ya kwenda kusadia chama cha upinzani zidi ya chama chake au kutumia magazeti kwa nini wasimfukuze, kabla ya hizo siku 90, kwani ni lazima zifike siku 90,
hii ni failure nyingine ya ccm hapa anatutangazi udhaifu wao wakucheza na wezi wa mali za umma, hawa hawatufai, kama mtu anaua chama chao lakini wanasubiria siku 90, basi hii nchi itauzwa watu wakijishauri,
balaa lingine limemwangukia katibu mkuu wa chama cha chadema,baada ya kutuhumiwa na chama cha mapinduzi kuwa anatumika na mafisadi,hii inaweza chukuliwa kirahisi lakini ni swala nyeti ikizingatiwa slaa amekuwa akijifanya kuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi,slaa hana budi kukanusha hizi tuhuma au kutoa maelezo ya kujitosheleza kwasababu kukaa kimya inaweza kuleta tasfiri tofauti kwa wafuasi wake( silence means yes)

habari kamili
chama cha mapinduzi kimesema katibu mkuu wa chadema, dk. Willibrod slaa na chama chake, wanatumiwa na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kujiuzulu wenyewe ndani ya chama hicho.

Akihutubia umati wa watu katika viwanja vya mwembe-kisonge zanzibar, katibu wa itikadi na uenezi wa ccm, nape nnauye amesema kwa sasa watuhumiwa hao wameamua kutumia baadhi ya vyama vya siasa, magazeti na asasi za dini kujibu mapigo.

“tumewapa miezi mitatu watuhumiwa wote wa ufisadi katika chama chetu wajiondoe wenyewe. Baadhi wanajaribu kupinga na kujibu mapigo kwa kutumia magazeti, vyama vya siasa na taasisi za dini...tunajua tutashinda na wao lazima waondoke,” alisema nnauye.

Alisema, “tumeandaa mkakati wa kusafisha chama kutoka ngazi za chini mpaka katika ngazi ya taifa. Tumechunguza na tunajua wanaotakiwa kuondoka ndani ya chama chetu. Lakini baadhi ya watu wamejitokeza kutaja majina ya watuhumiwa ndani ya chama chetu, hiyo si kazi yao.”
 
I'm not sold on much of these behavioral theories, much less it coming from someone on the 'other' side.

We have made so much progress as a specie due to the understanding of humans behavior. We can't just overlook that now. If the argument is based on facts, then it should not matter which side the brought up the fact.

To Muheshimiwa's defense, nowadays having big ego is a pre-requisite to become a politician. He is expected to have a big ego, just by associating his career choice. But we can agree that referring yourself in third person is associated with neither humble nor humility.
 
Balaa lingine limemwangukia katibu mkuu wa chama cha CHADEMA,baada ya kutuhumiwa na chama cha mapinduzi kuwa anatumika na mafisadi,hii inaweza chukuliwa kirahisi lakini ni swala nyeti ikizingatiwa Slaa amekuwa akijifanya kuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi,Slaa hana budi kukanusha hizi tuhuma au kutoa maelezo ya kujitosheleza kwasababu kukaa kimya inaweza kuleta tasfiri tofauti kwa wafuasi wake( silence means yes)

HABARI KAMILI
CHAMA Cha Mapinduzi kimesema Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa na chama chake, wanatumiwa na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi waliotakiwa kujiuzulu wenyewe ndani ya chama hicho.

Akihutubia umati wa watu katika viwanja vya Mwembe-Kisonge Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kwa sasa watuhumiwa hao wameamua kutumia baadhi ya vyama vya siasa, magazeti na asasi za dini kujibu mapigo.

“Tumewapa miezi mitatu watuhumiwa wote wa ufisadi katika chama chetu wajiondoe wenyewe. Baadhi wanajaribu kupinga na kujibu mapigo kwa kutumia magazeti, vyama vya siasa na taasisi za dini...tunajua tutashinda na wao lazima waondoke,” alisema Nnauye.

Alisema, “Tumeandaa mkakati wa kusafisha chama kutoka ngazi za chini mpaka katika ngazi ya Taifa. Tumechunguza na tunajua wanaotakiwa kuondoka ndani ya chama chetu. Lakini baadhi ya watu wamejitokeza kutaja majina ya watuhumiwa ndani ya chama chetu, hiyo si kazi yao.”

Hivi hii ni habari au ni propaganda ya ccm. Unandika wakati ukijua jk na ccm hawalali wakitafuta kumua Dr Slaa na Chadema. Mbinu zao na nia yao tunazijua na hii jipya. Tusijadili maadili ya ccm ila tuangalie jinsi gani kama wananchi tutajenga nchi kwa kuwaondoa ccm madarakani. Vitu muhimu ni kwa wananchi wanaojali nchi yao kuelimishana na kuendeleza hizi harakati za mapinduzi. jk sio raisi wangu na ni raisi wa mafisadi na aliiba kura, kuna haja gani ya kuangalia usanii? Tunatakiwa tuelekeza mashambulizi yetu bungeni kumwondoa huyo mama anayepitisha na kulinda hoja mafisadi na kuacha wananchi wanakufa.
 
Nnape, angekuwa na busara angemshukru Dr. Slaa kwa kumrahisishia kazi ya kuwatafuta mafisadi ndani ya ccm; kwani orodha yote ya mafisadi imetajwa wazi na Dr. Slaa, na hakuna kiongozi wa ccm hata mmoja akiwamo Nnape ambaye amewahi kutaja hata jina moja tu la fisadi. Sasa leo iweje aliyewataja Mafisadi awe anatumwa na hao Mafisadi?? Nnape jaribu kutumia busara; ulipaswa kuwashukru wanaokupa majina ya mafisadi.
 
We have made so much progress as a specie due to the understanding of humans behavior. We can't just overlook that now. If the argument is based on facts, then it should not matter which side the brought up the fact.

What is the fact here? That one post you quoted earlier? C'mon man, you can do better than that. Show me a pattern and you may have convert but not one measly post out of several hundreds and a whole host of speeches, interviews, panel discussions, etc.

To Muheshimiwa's defense, nowadays having big ego is a pre-requisite to become a politician. He is expected to have a big ego, just by associating his career choice. But we can agree that referring yourself in third person is associated with neither humble nor humility.
Mheshimiwa has made how many stump speeches, done how many interviews, participated in how many discussion panels, written how many posts in JF? Now, if you can show me a pattern of him referring himself in the third person then your theory may hold some water but anything less is just an attempt by the 'other' side to sully his character.
 
Wanachotakiwa kufanya hawa "waliojivua magamba" sio kuendeleza bla bla bla. Mara oooh CDM, mara oooh tumewapa miezi 3. Magamba kwanza watibu uharisho wao kwa mdomo wapungue kusema.

Pili lakini ndio muhimu zaidi, mafisadi wanawajuwa, walichokisidi wanakijuwa kwa hiyo wasiwape miezi mitatu wale siku tatu, wawapeleke katika vyombo vya sheria na huko ihakikishwe kuwa wanalipa hadi shilingi ya mwisho kabla hawajasekwa lupango. Watanzania hawatapata nafuu wala kuondokewa na matatizo yao kwa bla bla bla zenu.
 
What is the fact here? That one post you quoted earlier? C'mon man, you can do better than that. Show me a pattern and you may have convert but not one measly post out of several hundreds and a whole host of speeches, interviews, panel discussions, etc.

Mheshimiwa has made how many stump speeches, done how many interviews, participated in how many discussion panels, written how many posts in JF? Now, if you can show me a pattern of him referring himself in the third person then your theory may hold some water but anything less is just an attempt by the 'other' side to sully his character.

Obviously I do not have time in my hand to scan all the above. I just made an observation stemming from a single post. And scientifically that is not enough.

I also, think it is waste of resources for Imamu kwenda kwenye kanisa la walokole to convert them into Islam.

But in a spirit of civility, tukubaliane kutokukubaliana.
 
WanaJamvi,
Cheap politics haisaidii. Balaa gani hiyo? Kama ni balaa Dr Slaa kilipaswa kumshukia baada ya List of Shame niliyoitangaza MwembeYanga,Temeke, dar-Es-Salaam Tarehe 25 September, 2007. Siku hiyo mbele ya Polisi wengi wa Makao Makuu, FFU waliokuwa wametanda kila mahali, Usalama wa Taifa wenye Radio Masikioni dakika zote nilitaja, kwa kushirikiana na Lisu, Mkurugenzi wa Sheria Chadema, Mafisadi 11, katika Listi hiyo akiwemo JK. Rostam Aziz na Lowasa walikuwa kwenye Listi hiyo. Wako walionitishia kunipeleka mahakamani wakashindwa(leo baadhi yao wako mahakamani kwa tuhuma hizo hizo),JK akatangaza hadharani kuwa kelele za DR Slaa ni kama "kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba kulala" na matambo mengine mengi-Leo JK mwenyewe anatumia msamiati "Mafisadi aliokuwa ameukataa muda wote, na leo ameanzisha usanii wa " Kuitaka CCM kujivua gamba" kwa ajili ya Ufisadi. Sasa balaa lipi mwenye kuanzisha thread hii anaiona. Kama ni nape simshangai, kwani inawezekana 2007 alikuwa mdogo, na kwa hiyo namsamehe bure. Nani anamtumia nani Dr Slaa aliyewatangaza hadharani wote hao miaka, Dr Slaa aliyewataja hdharani miaka mitatu iliyopita, au Nape aliyeteuliwa juzi na kulewa mara madaraka na kusahau historia na au kulewa siasa ya makundi ndani mwao wenyewe? Dr Slaa hasumbuliwi na uchafu ndani ya CCM, hayo ni mambo yao. Wavue gamba wasivue ni shauri lao. Dr Slaa ninayosema, ambayo nimeisema consistently, "walipe fedha zetu watanzania, na bila ubaguzi wapelekwe mahakamani na hjatimaye gerezani kama ambavyo watanzania wengi wana[pelekwa kwa ajili ya "vijisenti vichache tu. Ni dhahiri Nape haelewi anachoongea, na au hajui historia au makusudi anapotosha. Narudia tena Ufisadi ndani ya CCM hautusumbui ni wa kwao wenyewe, watajua wanavyofanyiana. Kinachotusumbua ni ufisadi uliofanywa na Wana CCM na CCM yao (kama nilivyohusisha vijimemo vya Mangula na Malecela kwa Dr Balali, aliyekuwa Governor wa BOT) kwa rasilimali na Fedha za Taifa au kwa manufaa yao binafsi au ya Chama chao. Wanakazi kweli, kujivua Gamba pekee hakutoshi labda "wabadili na damu",kama hata hiyo itawasaidia tulikofikia.

MZEE I DOUBT YOUR INDICES!! but tushaona wengi wa dizaini yako,wee utapita na wengine watakuja tuu that is politics,ila jua CDM wankutumia vibaya,kwani CDM huko peke yako?? kwanini wakupe mzigo wa kutaja majina kila siku kitu ambacho kingeweza hata kutajwa na katibu mwenezi wenu au unahisi ukitaja majina ndio unajiongezea umaharufu?? kimsingi watanzania wanataka mengi zaidi ya kuwatajia majina ambayo kimsingi huna nguvu yoyote ya kuwashughulikia! change strategy mzee
 
MZEE I DOUBT YOUR INDICES!! but tushaona wengi wa dizaini yako,wee utapita na wengine watakuja tuu that is politics,ila jua CDM wankutumia vibaya,kwani CDM huko peke yako?? kwanini wakupe mzigo wa kutaja majina kila siku kitu ambacho kingeweza hata kutajwa na katibu mwenezi wenu au unahisi ukitaja majina ndio unajiongezea umaharufu?? kimsingi watanzania wanataka mengi zaidi ya kuwatajia majina ambayo kimsingi huna nguvu yoyote ya kuwashughulikia! change strategy mzee

Wewe Kashaga ni more than controversy.......what indices? Ulishaona wepi wa dizaini ya Dr? Utasema Mtikila au Mrema? come on.......their political times,purposes and approaches to his (Dr) are not the same....hujajua au hutaki kujua effect za mwembe yanga 2007 na mustakabali wa nchi yetu au unanufaika na mengine?....hata mchawi ukimwambia WEWE NAJUA UNAROGA atapunguza au kuacha uchawi kama sio kufanya kwa kificho zaidi...kwa kuwataja hawa mafisadi tunaweka controls pia...hebu fikiria wasingetajwa leo uchumi wetu ungekuwaje?
 
Back
Top Bottom