JOSEPH SAANANE
Member
- Nov 23, 2011
- 12
- 3
VISA VYA KUZAA NJE YA NDOA:
Kijana alitaka kuoa, akamwambia baba yake niposewe msichana fulani. Babake akamwambia tafuta kwingine, yule ni dada yako, ila mamako hajui usimwambie. Kijana akatafuta msichana mwingine. Baba akamweleza huyo naye ni dadako, mamako hajui. Kijana akamtafuta wa tatu, ikawa hivyo hivyo. Kijana akaenda kumwambia mamake. Mama akasema kaoe ye yote kati yao. Huyo siye babako, yeye hajui, ila usimwambie.
Kijana alitaka kuoa, akamwambia baba yake niposewe msichana fulani. Babake akamwambia tafuta kwingine, yule ni dada yako, ila mamako hajui usimwambie. Kijana akatafuta msichana mwingine. Baba akamweleza huyo naye ni dadako, mamako hajui. Kijana akamtafuta wa tatu, ikawa hivyo hivyo. Kijana akaenda kumwambia mamake. Mama akasema kaoe ye yote kati yao. Huyo siye babako, yeye hajui, ila usimwambie.