Unataka kusema kwamba wakina Mramba wao au serikali inapenda kesi zisiishe?
Mbona kuna wananchi wa kawaida kesi zao zipo miaka 10 haziishi? kwanini wakina Mramba kesi iishe fasta wao kama wakina nani?
Kesi zao zinatakiwa ziishe haraka ili wananchi waone kwamba serekali ina nia ya kushughulukia janga la rushwa/ufisadi. Yote tisa kumi ni kwamba haki itendeke regardless of how quickly or not, kuna mdau kasema hapo juu 'It matters how it ends'. But as a patriot I would feel a heck lot better if the government acted swiftly and fairly on such high profile cases, that will go along way in deterring potential offenders more than any awareness campaign ever would. Then again that is all dependent on if the 'Government' is serious about getting rid of corruption, the keyword being 'if'.