Kwani kuna tatizo gani kuweka dini kwenye sensa, mbona nchi nyingi duniani wameweka sehemu ya dini, kama Uingereza, Misri, Israel, na hakuna tatizo lolote.
Huwezi kufananisha Tanzania na Uingereza, Misri, au Israel. Wamepevuka kifikra na nchi kama yetu ni rahisi sana raia kukimbilia kwenye vurugu za kidini au kikabila. Nawashauri wenzetu watumie muda mwingi kuzungumzia maendeleo ya kuwakwamua waumini wao kupambana na adui ujinga na umaskini.