Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
Bakwata imetangaza leo kuwa haiutambui waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu jana.
Imesema hakuna mantiki kwa waislamu kuupinga waraka uliotolewa na Wakristo, halafu waislamu hao hao nao waamue kutoa wao. Watakuwa wametenda jema lipi kama waliona wakristo wamekosea?
Imesema hakuna mantiki kwa waislamu kuupinga waraka uliotolewa na Wakristo, halafu waislamu hao hao nao waamue kutoa wao. Watakuwa wametenda jema lipi kama waliona wakristo wamekosea?