Bajeti za wizara zote zichunguzwe

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
4,419
1,920
Inaweza kuwa alilofanya Jairo wenziye wa wizara nyingine hulifanya....hivyo wote wachunguzwe....mimi nilikuwa sielewi watu woote kujazana Dodoma wakati wa bunge kumbe ndio hili?......no wonder foleni zimepungua Dar!
 
Inaweza kuwa alilofanya Jairo wenziye wa wizara nyingine hulifanya....hivyo wote wachunguzwe....mimi nilikuwa sielewi watu woote kujazana Dodoma wakati wa bunge kumbe ndio hili?......no wonder foleni zimepungua Dar!
Ni wizara zote zenye taasisi nyingi za UMMA zinayafanya haya. Tumshukuru Jairo kalifanya kwa MAANDISHI kabisa. Beatrice( kwa uchungu wa mambo mengi) kayaanika haya bungeni. Mawaziri na wizara nyingine zinayafanya haya kwa usiri mkubwa na wakati mwingine mapema zaidi hata kabla ya kikao cha bajeti. Huu ni mfumo uliohalalishwa wa rushwa.
 
Ni wizara zote zenye taasisi nyingi za UMMA zinayafanya haya. Tumshukuru Jairo kalifanya kwa MAANDISHI kabisa. Beatrice( kwa uchungu wa mambo mengi) kayaanika haya bungeni. Mawaziri na wizara nyingine zinayafanya haya kwa usiri mkubwa na wakati mwingine mapema zaidi hata kabla ya kikao cha bajeti. Huu ni mfumo uliohalalishwa wa rushwa.

Hapo nimekupata
 
Inaweza kuwa alilofanya Jairo wenziye wa wizara nyingine hulifanya....hivyo wote wachunguzwe....mimi nilikuwa sielewi watu woote kujazana Dodoma wakati wa bunge kumbe ndio hili?......no wonder foleni zimepungua Dar!

wakati wa bunge ni wakati wa mavuno, serikali ina pesa za kuchezea yaani 1b kuwalainisha wabunge, hii ni kashfa zaidi ya Richmond.
 
wakati wa bunge ni wakati wa mavuno, serikali ina pesa za kuchezea yaani 1b kuwalainisha wabunge, hii ni kashfa zaidi ya Richmond.

Imagine wizara 30....ndio maana Shibuda kaingia matatani manke kwa kuvuta hafai
 
Hivi Takukuru wanasemaje kuhusu hii issue sababu hii ni Grand Corruption..., inabidi tuone mtu au watu wanafikishwa mahakamani
 
Hivi Takukuru wanasemaje kuhusu hii issue sababu hii ni Grand Corruption..., inabidi tuone mtu au watu wanafikishwa mahakamani
Halafu ni rahisi kweli kulichunguza hili. Unaanzia pale kwenye akaunti ya Chuo cha Madini A/C No:5051000068 NMB-Dodoma.
 
Inaweza kuwa alilofanya Jairo wenziye wa wizara nyingine hulifanya....hivyo wote wachunguzwe....mimi nilikuwa sielewi watu woote kujazana Dodoma wakati wa bunge kumbe ndio hili?......no wonder foleni zimepungua Dar!

Mkuu hapo nakubaliana na wewe kuwa si Jairo pekee anayetegemea njia ya kuwalainisha wabunge. I can bet my hand on this! Lakini sasa, utawaona wabunge wetu walivyo watendaji wa kuwavizia watu fulani fulani watakubali yaishie hapa.

Ukipima kwa makini utagundua kuwa, si msukumo wa uzalendo uliyosababisha Jairo kukomaliwa na Ngeleja kurudishwa na bajeti yake kwa sababu nimekuwa nikifuatilia hata bajeti zilizopita zilikuwa na mapungufu mengi kama ya hiyo ya Ngeleja. Wapinzani wakiyaongelea CCM wanawazomea. Leo hii uchungu umewapata. UNAFIKI MTUPU....!

Lakini nawapongeza hata kama ni kwa unafiki, taifa litafaidika kwa kutokuwa na watendaji wanaoendekeza rushwa. Wito wangu kwa wabunge; Undeni kamati mchunguze hiyo pesa kapewa nani? na je wizira nyingine hazikupitia mlango huo????
 
Ndo maana wanakazana kugonga meza na kuzomea wapinzani! Kumbe wanapokea hela eh? Wanaangalia maslahi ya kwao wakati mamilioni ya watanzania nyuma yao wanakosa huduma muhimu.
 
Bajeti zote zikichunguzwa Bunge litavunjwa.
Haya majitu ya ccm yanapenda sana rushwa.
Yaani. Wee acha tu. Haya mambo "yamekuzwa" na Beatrice tu. Ilishakuwa sehemu ya maisha kwa Wabunge na wanasiasa wetu. Hamkumbuki hadi juzi tu kila bajeti ya wizara yoyote ikishapita tu ilikuwa inaangushwa "party" ya nguvu na kugawana bahasha wazi tu.
 
Back
Top Bottom