CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Inaweza kuwa alilofanya Jairo wenziye wa wizara nyingine hulifanya....hivyo wote wachunguzwe....mimi nilikuwa sielewi watu woote kujazana Dodoma wakati wa bunge kumbe ndio hili?......no wonder foleni zimepungua Dar!