only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu kupitia kwa jamaa zangu pale hazina kujua gharama tulizoingia kwa kuandaa haya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika..
Kwa haraka haraka bajeti nzima ya maadhimisho haya ni bilioni 24 na kinara wa matumizi ni hazina wenyewe ambao wametumia karibu bilioni 4.Gharama hizi zinahusisha posho za wafanyakazi wa wizara mbalimbali waliohusika kwenye maonyesho ya miaka 50 ya uhuru na hasa kwa kamati ya maandalizi iliyokuwa chini ya mtoto wa mkulima Mizengo Kayanza Peter Pinda....
Gharama hizi zingeweza kulipa kiasi kidogo cha madeni ya walimu ambacho kinafikia karibu bilioni 64..Je,hii imekaaje watanganyika?
Nawasilisha!!
Kwa haraka haraka bajeti nzima ya maadhimisho haya ni bilioni 24 na kinara wa matumizi ni hazina wenyewe ambao wametumia karibu bilioni 4.Gharama hizi zinahusisha posho za wafanyakazi wa wizara mbalimbali waliohusika kwenye maonyesho ya miaka 50 ya uhuru na hasa kwa kamati ya maandalizi iliyokuwa chini ya mtoto wa mkulima Mizengo Kayanza Peter Pinda....
Gharama hizi zingeweza kulipa kiasi kidogo cha madeni ya walimu ambacho kinafikia karibu bilioni 64..Je,hii imekaaje watanganyika?
Nawasilisha!!