Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yapita!

nawashanga mnaposhanga kile ambacho kilikuwa wazi mi navyojua hata ile ya nishati PM aliogopa tu ingefka kwenye kupgiwa kura wanamagamba wangeptsha tu tena kwa mia kwa mia
 
Kwakua waziri huyo ni mgeni ktk wizara hiyo ni muhimu akasikilizwa maoni yake kama kweli serious tunataka mabadiliko. Inadhaniwa kua waziri akishirikiana na vyombo husika walifanya uchunguzi wa kina mpaka kufikia such conclusion. Kama kuna lawama zozote ni vyema zikaelekezwa kwa wale waliosambaratisha hiyo sector. Kama burget isipopitiswa nani atalaumiwa kama hiyo wizara ikisindwa kufanya kazi zake kwa ufanisi? tujaribuni kua realistic
 
Hoja nyingi zilizojadiliwa na wabunge zisingeweza kuzuia bajeti isipite. Kwa mfano swala la ATC au TRL ufumbuzi wake hauwezi kupatikana over night. Majibu ya waziri wakati anahitimisha hoja yake, yanatosha kuwafanya wabunge wapitishe bajeti, kama yataonyesha kusikilizwa kwa hoja zao. Kuongeza pesa hakuna maana yoyote kwa sababu ukweli ni kwamba pesa hizo hakuna. Wana inflate bajeti tu.....Uzoefu huonyesha kuwa wizara nyingi hupokea si zaidi ya nusu za fedha zinazopitishwa na wabunge, na sijawahi kusikia wabunge wakihoji swala hili. Wanapitisha bajeti hewa.
Nakubaliana na wewe mkuu sioni umuhimu wa kupitisha au kutopitisha bajeti kwani ni hewa. Nashangaa ni kwa nini Bunge huwa halihoji hilo. Hizo bn 95 ni hewa na hats zile zilizoonekana ni ndogo hazitoshi ni asilimia 20 tu ndo zitapelekwa Wizarani. SERIKALI IMEKAA KISANII
 
Back
Top Bottom