K Kichasi Member Aug 30, 2011 61 13 Jul 17, 2012 #1 Habari zenu wakuu. Kama kuna mtu anajua tarehe ambayo bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi itasomwa anijuze. Natanguliza shukrani.
Habari zenu wakuu. Kama kuna mtu anajua tarehe ambayo bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi itasomwa anijuze. Natanguliza shukrani.
K Kimbori JF-Expert Member Feb 21, 2012 5,453 3,203 Jul 17, 2012 #2 Kuna mdau alisema ni tarehe 15 na 16 mwezi ujao.
S SG8 JF-Expert Member Dec 12, 2009 3,955 2,125 Jul 17, 2012 #3 Kichasi said: Habari zenu wakuu. Kama kuna mtu anajua tarehe ambayo bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi itasomwa anijuze. Natanguliza shukrani. Click to expand... Pitia hapa kuna ratiba Parliament of Tanzania
Kichasi said: Habari zenu wakuu. Kama kuna mtu anajua tarehe ambayo bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi itasomwa anijuze. Natanguliza shukrani. Click to expand... Pitia hapa kuna ratiba Parliament of Tanzania
Adharusi JF-Expert Member Jan 22, 2012 14,402 7,310 Jul 17, 2012 #4 Ngoja nami nione ratiba yao Vox populi,vox dei
K Kichasi Member Aug 30, 2011 61 13 Jul 17, 2012 Thread starter #5 gerrard said: pitia hapa kuna ratiba parliament of tanzania Click to expand... asante mkuu.