The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.Ngapi kwnye meals and accomodation!
books allowance hamuisubiri kwa hamu?wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.ngapi kwnye meals and accomodation!
Wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.Ngapi kwnye meals and accomodation!
Msifurahie madeni, Mtayalipa tu huko mbelen WATANZANIA TUTAELIMIKA LINI?? Kama huna jibu la swali kwanini usikae kimya?? Ndio maana WATANZANIA Wengi tunashindwa INTERVIEW! Tunadhani kila swala lazima lichangiwe hata kama hauna point! Sasa maelezo yako yametoa jibu la muuliza swali?? Kama hujui kaa kimya!
sa wewe kinakuuma nin mkuu?kama hukua na vigezo vya kupewa bum,kaa kimya!Msifurahie madeni, Mtayalipa tu huko mbeleni