Bajeti ya Tanzania ni kiasi gani?

ZeMarcopolo

Platinum Member
May 11, 2008
14,017
7,220
Katika speech hii [ame=http://www.youtube.com/watch?v=2UZgQzwYFqo]YouTube - ALC '08: Issue Forum—Pres. Jakaya Kikwete[/ame] Rais JK anasema kuwa bajeti ya Tanzania ni USD 7 bil. Katika hotuba ya waziri wa fedha ilianishwa kuwa bajeti ya nchi ni sh. trilion 4.7,
Je kipi ni sahihi?
 
Katika speech hii YouTube - ALC '08: Issue Forum—Pres. Jakaya Kikwete Rais JK anasema kuwa bajeti ya Tanzania ni USD 7 bil. Katika hotuba ya waziri wa fedha ilianishwa kuwa bajeti ya nchi ni sh. trilion 4.7,
Je kipi ni sahihi?


Budget ya Tanzania ni $7.0billion ambazo ni sawa na Tsh 7.?? trillion, kwenye budget hiyo hiyo 4.7 trillion ni zile kodi ambazo Tanzania inakusanya, na zilizobaki 2.3 trillion wanategemea wahisani:

$7.00billion ni sawa na nusu na faida ya miezi 3 kampuni kama GE ni robo ya faida ya kampuni ya Exoomobil ya miezi 3, ni sawa na pesa walizonazo watu binafisi wenye kampuni za mafuta uko Marekani.
 
Na wakati huo huo bajeti yah chuo kikuu cha Havard ni $3 billioni kwa mwaka yaani almost nusu ya bajeti ya nchi!!!!!!!
 
watu wanaokula benefit au jobseeks allowance UK ni £12bn = 16.8096 billion U.S. dollars

kazi ipo bongo tambarare
 
Nadhani si vibaya pia wakati tunajadilijadili hii thread tujiulize, wananchi wa Tanzania wanachangia asilimia ngapi ya fedha katika bajeti kupitia kodi wanazolipa.
Pia tuendelee kujiuliza katika nchi nyingine zenye mtandao mzuri wa kulipa kodi wananchi huchangia asilimia ngapi kwenye bajeti zao kutoka kwenye kodi wanazolipa.
Nina wasiwasi (ukiondoa biashara) individual taxpayers ni wachache mno.
 
Nadhani si vibaya pia wakati tunajadilijadili hii thread tujiulize, wananchi wa Tanzania wanachangia asilimia ngapi ya fedha katika bajeti kupitia kodi wanazolipa.
Pia tuendelee kujiuliza katika nchi nyingine zenye mtandao mzuri wa kulipa kodi wananchi huchangia asilimia ngapi kwenye bajeti zao kutoka kwenye kodi wanazolipa.
Nina wasiwasi (ukiondoa biashara) individual taxpayers ni wachache mno.

Tanzania wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kuliko wafanyabiashara percentage wise. Kila mwezi watu hukatwa zaidi ya asilimia 10 ya mshahara kama PAYE. Wafanyabiashara hawalipi kodi bali wana act kama agent wa kukusanya kodi toka kwa wateja na kuipeleka serikalini.
Tanzania ukusanyaji kodi umefail kwa kiwango kikubwa ndio maana bajeti inakuwa finyu. Bakhressa alone ana annual turnover recorded plus unrecorded yenye value sawa na hii bajeti, je serikali inashindwa vipi kupata mapato makubwa zaidi ya Bakhressa???
 
Tanzania wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kuliko wafanyabiashara percentage wise. Kila mwezi watu hukatwa zaidi ya asilimia 10 ya mshahara kama PAYE. Wafanyabiashara hawalipi kodi bali wana act kama agent wa kukusanya kodi toka kwa wateja na kuipeleka serikalini.
Tanzania ukusanyaji kodi umefail kwa kiwango kikubwa ndio maana bajeti inakuwa finyu. Bakhressa alone ana annual turnover recorded plus unrecorded yenye value sawa na hii bajeti, je serikali inashindwa vipi kupata mapato makubwa zaidi ya Bakhressa???

Good observation, Je na sisi wananchi wa kawaida mbona hatulipi chochote kwa maana ya kodi. Mimi niponipo silipi kodi wala siulizwi ninafanya biashara ndogondogo lakini zinanipa uhakika wa kuishi mjini. Hapo hapo ninataka serikali inihudumie matababu na kunilipia gharama za watoto wangu shule. Kwa kifupi biashara yangu haichangii kipato chochote serikalini au kwenye bajeti. Je, mimi sio mnnyaji kweli?
 
Good observation, Je na sisi wananchi wa kawaida mbona hatulipi chochote kwa maana ya kodi. Mimi niponipo silipi kodi wala siulizwi ninafanya biashara ndogondogo lakini zinanipa uhakika wa kuishi mjini. Hapo hapo ninataka serikali inihudumie matababu na kunilipia gharama za watoto wangu shule. Kwa kifupi biashara yangu haichangii kipato chochote serikalini au kwenye bajeti. Je, mimi sio mnnyaji kweli?

Mkuu nyingi ya hizo biashara ndogondogo, na mahitaji mengine hununuliwa tayari kukiwa na VAT translation kwa consumer. Hivyo basi unless hununui kitu au huduma yeyote basi kodi unakuwa hulipi in absolute terms. Halafu kama alivyosema Zemarcopolo hapo juu huwa inashangaza yaani mtu mwenye say mshahara wa 1m per month atajikuita analipa kodi kubwa ambayo ni 30% above Tshs 540,000.00 mark. Ukilinganisha na mfanyabiashara mwenye capital inayozunguka ya 100m.
 
Good observation, Je na sisi wananchi wa kawaida mbona hatulipi chochote kwa maana ya kodi. Mimi niponipo silipi kodi wala siulizwi ninafanya biashara ndogondogo lakini zinanipa uhakika wa kuishi mjini. Hapo hapo ninataka serikali inihudumie matababu na kunilipia gharama za watoto wangu shule. Kwa kifupi biashara yangu haichangii kipato chochote serikalini au kwenye bajeti. Je, mimi sio mnnyaji kweli?

...wewe kweli Punda maana ni kama unakula majani ya bure porini,ila pole sana na uwezo wako mdogo wa kuelewa,ila kukusaidia kodi unalipa tena kubwa sana kuliko unavyofikiria,mfano unaponunua lita ya mafuta ujue zaidi ya nusu ya bei ni kodi ambayo unailipa wewe au mwenye gari ambaye naye anakulipisha wewe kwenye nauli yako..anyway kodi unalipa ndugu yangu kupitia VAT au namna nyingine mabayo inabidi ujifunze!
 
Nadhani si vibaya pia wakati tunajadilijadili hii thread tujiulize, wananchi wa Tanzania wanachangia asilimia ngapi ya fedha katika bajeti kupitia kodi wanazolipa.
Pia tuendelee kujiuliza katika nchi nyingine zenye mtandao mzuri wa kulipa kodi wananchi huchangia asilimia ngapi kwenye bajeti zao kutoka kwenye kodi wanazolipa.
Nina wasiwasi (ukiondoa biashara) individual taxpayers ni wachache mno.


Inawezekana ni kweli unayoyasema, lakini pia tujiulize kwa hicho kichache serikali yetu inachokipata toka kwenye kodi na sehemu nyingine inakitumia vipi katika kuwaboreshea wananchi maisha ili nao waone umuhimu wa kulipa kodi zaidi?. Ukifanya kazi ya kujaza maji kwenye ndoo unategemea ndoo itajaa, lakini kama ndoo ina tobo maji hayatajaa kamwe.
 
Tanzania wafanyakazi wanalipa kodi kubwa kuliko wafanyabiashara percentage wise. Kila mwezi watu hukatwa zaidi ya asilimia 10 ya mshahara kama PAYE. Wafanyabiashara hawalipi kodi bali wana act kama agent wa kukusanya kodi toka kwa wateja na kuipeleka serikalini.
Tanzania ukusanyaji kodi umefail kwa kiwango kikubwa ndio maana bajeti inakuwa finyu. Bakhressa alone ana annual turnover recorded plus unrecorded yenye value sawa na hii bajeti, je serikali inashindwa vipi kupata mapato makubwa zaidi ya Bakhressa???
Sehemu ya turnover yake huwagawia viongozi na familia zao kisha haguswi
 
Back
Top Bottom