Inasemekana budjet ya rwanda ni Tshs trillion 15, wakati idadi ya wananchi ni million 6 tu, Tanzania nao eti ni Tshs 15 trillion
Unasema Inasemekana, tupe kwa Uhakika... kwanini tujadili yanayosemekana kumbe sio ukweli?
Tupe Source; tufurahishe kwa Hoja yako sio kutusikitisha
Pitia hapo uone bajeti yao. Pia angalia hiyo attachment
http://www.minecofin.gov.rw/library/nb/2012-13 Budget Statement.pdf
OK, that what i was excited telling the source is the best...
1st Exchange Rate Between Rwandan Franc's & Tanzanian Shillings...
1 Rwanda Franc RWF = 2.59 Tanzanian Shillings TZS
1,385.3 billion RF Budget Revenue Projected = 3,593.17 billion T shillingsRwanda Revenue in TZS
Budget yao haijafika Trillion 15 kama unavyosema Umeona conversion rates; it is only in Billion just 3.5 billion shillings
OK, that what i was excited telling the source is the best...
1st Exchange Rate Between Rwandan Franc's & Tanzanian Shillings...
1 Rwanda Franc RWF = 2.59 Tanzanian Shillings TZS
1,385.3 billion RF Budget Revenue Projected = 3,593.17 billion T shillingsRwanda Revenue in TZS
Budget yao haijafika Trillion 15 kama unavyosema Umeona conversion rates; it is only in Billion just 3.5 billion shillings
OK, that what i was excited telling the source is the best...
1st Exchange Rate Between Rwandan Franc's & Tanzanian Shillings...
1 Rwanda Franc RWF = 2.59 Tanzanian Shillings TZS
1,385.3 billion RF Budget Revenue Projected = 3,593.17billion T shillingsRwanda Revenue in TZS
Budget yao haijafika Trillion 15 kama unavyosema Umeona conversion rates; it is only in Billion just 3.5 billion shillings
Mkuu sio mimi niliopost mada, mimi nimekurushia tu hiyo bajeti. Lakini ahsante kwa kukokotoa. Nilichovutiwa mimi na hiyo bajeti jinsi walivyopanga hiyo speech na vipaumbele vyao
ya kenya ni ksh 1.5tr..ukiconvert to tsh inakua tsh 25tr..hili gap ni aibu
Unasema Inasemekana, tupe kwa Uhakika... kwanini tujadili yanayosemekana kumbe sio ukweli?
Tupe Source; tufurahishe kwa Hoja yako sio kutusikitisha
Ikiwa barabara za lami zinazojengwa Tanzania kwa wakati huu, zitatandazwa Rwanda basi itafunikwa na lami yote na watakosa hata ardhi ya kulima - Magufuli, viwanja vya Jangwani.
Kwa hiyo? Support your comment