Bajeti ya mlalahoi

Mr Rocky

JF-Expert Member
Oct 10, 2007
15,178
14,349
1. #BajetiyaMlalahoi Kile kishimo katika donati kitolewe, kinakula tu nafasi alafu iongezwe ngano!!! 2. #BajetiyaMlalahoi Vocha ya jero iuzwe mia nne hamsini, ati listi tubaki na hamsini ya kuskrachi! 3. #BajetiyaMlalahoi Safari za kwenda Bondeni kwa Madiba zishuke bei, bondeni, si ndege inashuka tu, unaweka frii! Ila kurudi ndio ibaki palee pale.
 
nimeikubali!

1. #BajetiyaMlalahoi Kile
kishimo katika donati kitolewe, kinakula tu nafasi alafu iongezwe
ngano!!! 2. #BajetiyaMlalahoi
Vocha ya jero iuzwe mia nne hamsini, ati listi tubaki na hamsini ya
kuskrachi! 3. #BajetiyaMlalahoi
Safari za kwenda Bondeni kwa Madiba zishuke bei, bondeni, si ndege
inashuka tu, unaweka frii! Ila kurudi ndio ibaki palee pale.
 
Back
Top Bottom