1. #BajetiyaMlalahoi Kile kishimo katika donati kitolewe, kinakula tu nafasi alafu iongezwe ngano!!! 2. #BajetiyaMlalahoi Vocha ya jero iuzwe mia nne hamsini, ati listi tubaki na hamsini ya kuskrachi! 3. #BajetiyaMlalahoi Safari za kwenda Bondeni kwa Madiba zishuke bei, bondeni, si ndege inashuka tu, unaweka frii! Ila kurudi ndio ibaki palee pale.