Magufuli hana usanii, anatenda kile anachokiamini siyo kutafuta umaarufu! Utendaji wa Magufuli siyo wa mazoea bali anatekeleza vile mipango ilivyopangwa hana longolongo. Mmalawi Mkulo yeye ni kujipendekeza na kusema uongo kwa kuogopa kuambiwa yeye siyo mtanzania!
Mwacheni Pombe afanye kazi kwani wananchi wana amini sasa barabara zitajengwa kwa viwango na kwa wakati bila hata kuliwa pesa yao, tofauti na kipindi cha Chenge na Kawambwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.