mjunguonline
Member
- Mar 10, 2011
- 73
- 5
Wakuu,nafuatilia kwa umakini hii bajeti ya mwaka wa fedha 2012/2013,ni bayeti ya kukomoa,kuanzia Mawasiliano,Pombe,Sigara,Magari,vimepanda....
Mbaya zaidi huyu Waziri wa fedha anasoma huku anacheka,ini hali akijua kuwa inaumiza wananchi...Lengo la Bajeti hii ni kuongeza Pato la Taifa na Kuongeza ukali wa Maisha...
Nawasilisha...
Mbaya zaidi huyu Waziri wa fedha anasoma huku anacheka,ini hali akijua kuwa inaumiza wananchi...Lengo la Bajeti hii ni kuongeza Pato la Taifa na Kuongeza ukali wa Maisha...
Nawasilisha...