stanluva
Senior Member
- Apr 7, 2009
- 153
- 32
Sare za kijani ni nguo kama zilivyo nguo nyingine! Sawa na kanzu mtu yeyote yule anaweza kuvaa mkuu! Isikupe shida saana we sikiliza hotuba ya muheshimiwa!Sasa sare za kijani za nini? mi nadhani kuna umuhimu wa kuliangalia upya hili swala la kofia mbili. Ndo maana mambo mengi yanakwenda ndivyo sivyo kwani chama huyo huyo, nchi huyo huyo hakuna wa kumsaidia mwenzie.. linalotoka ni hilo hilo, liwe zuri ama baya..
Anyway wacha tusubilie hizo pumba/mchele ...