Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Itakuaje kwa wale ambao majina yatafananana? Lets say mimi Mtei nataka gari yangu iwe na jna langu halafu na ndugu zangu wengne nao wanataka ku2mia jna hlo hlo maarufu. Itakuaje?
Utatofautisha kwa kuongeza neno "Mtoto wa muasisi wa chadema", haiwezekani yakafanana na ndio maana bei ipo juu, ili tupungue makabwela