tangazotangazo pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji)aina ya tvs king inauzwa.imetumika kwa mwaka 1 na miezi 3, iko katikahali nzuri.bei tsh 3,600,000 mazungumzo yapo.piga simu: 0755252263
Hizo Bajaj zina depreciate kwa 50% p.a, umetumia mwaka 1 na miezi 3, depreciation kwa mwaka 1 na miezi 3 ni Shs 3,125,000, assuming ulininuna kwa Shs 5,000,000 baada ya mwaka 1 na miezi 3 unatakiwa uize kwa shs 1,875,000.
Sasa wewe hiyo bei ya kuuzia Shs 3,600,000 umeitoa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.