Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
haaah haaah dah mwaliko wa wapi huu.
Oya dogo unaniita?
Oya dogo unaniita?
Niko mapangoni Chechnya huku muzeya....Nataabika balaa. Netiweki kaputi lakini bibie ananipa yote nayomwomba.Nimekuita mzeiya...ulikuwa umejifichia wapi?
Niko mapangoni Chechnya huku muzeya....Nataabika balaa. Netiweki kaputi lakini bibie ananipa yote nayomwomba.
Tehe tehe tehe.......subiri watoto walale afu nitakuambia!
Tehe tehe tehe.......subiri watoto walale afu nitakuambia!
Niko mapangoni Chechnya huku muzeya....Nataabika balaa. Netiweki kaputi lakini bibie ananipa yote nayomwomba.
zama hizo zimepita kauli mbiu ya na sisi tunaweza itawaumiza sana miaka hii.imekaa kimahaba!hao mashehe wanaenda raha badala ya kuwaachia watoto wa kike wakae kwenye seat,wanakaa wenyewe!
nyuma imefungwa tairi ya hiace, lazima uikubali tu
Watoto wameenda shule...nieleze basi
Tumeshalala,.., mwambie sasa!
Heheheh husahau??? Nilikueleza jana sema ukawa umelala ndio mana hujasikia!
Nisahau ili nije kuchekwa? Nakumbuka sana even under the influence of substances..teh teh teh
Subiri nakunong'oneza!
nyuma imefungwa tairi ya hiace, lazima uikubali tu
Duh!!! ya wapi hii mkuu???