Yusuph Salehe
Member
- Nov 12, 2010
- 58
- 1
Habari zenu wakuu? Leo nimekuja na hili ninashida ya kutofautisha maneno haya BAINISHA na AINISHA.
Mfano: Bainisha na ainisha maneno yafuatayo
1. Anakikimbia
2.Anakula
Naombeni msaada wenu jamani.
Mfano: Bainisha na ainisha maneno yafuatayo
1. Anakikimbia
2.Anakula
Naombeni msaada wenu jamani.