kade030
Member
- May 4, 2010
- 25
- 4
BAE nao pia ni wezi tuu kama our tainted tz gov.
Mi nadhani kama wanataka kuwapa NGO then fedha wapewe serikali ya uingereza halafu wao ndio waratibu huo ugawaji.
La sivyo kwa hiyo E-mail BAE systems wanaenda Bar kunywa vodka kazi ishaisha.. mkono huu unatoa halafu unapokea na mwingine.
Basi
Mi nadhani kama wanataka kuwapa NGO then fedha wapewe serikali ya uingereza halafu wao ndio waratibu huo ugawaji.
La sivyo kwa hiyo E-mail BAE systems wanaenda Bar kunywa vodka kazi ishaisha.. mkono huu unatoa halafu unapokea na mwingine.
Basi