mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Jana katika taarifa ya habari TBC 1 alikuwa akihojiwa na Mtangazaji Asha Haji kuhusu suluhu ya tatizo la Umeme Mkoa wa Ruvuma hususani Songea.
Katika maswali MATANO aliyoulizwa kashindwa kujibu maswali yote na cha kushangaza yule mtangazaji alikuwa ana mlea badala ya kung'anganiza alijbu alichoulizwa akawa ana muacha yule bibie akitambaa na uongo wake.
Mfano: Mtu akuulize umezaliwa lini? Matokeo yake wewe ujibu JANA UMEKULA MATEMBELE. Ndicho alichokuwa anafanya bibie Badra Masoud.
Ushauri wa bure kwa Tanesco:
Tafuteni PR Manager ambaye ni Injinia wa Umeme na sio Badra tena yeye amesha prove Failure.
Katika maswali MATANO aliyoulizwa kashindwa kujibu maswali yote na cha kushangaza yule mtangazaji alikuwa ana mlea badala ya kung'anganiza alijbu alichoulizwa akawa ana muacha yule bibie akitambaa na uongo wake.
Mfano: Mtu akuulize umezaliwa lini? Matokeo yake wewe ujibu JANA UMEKULA MATEMBELE. Ndicho alichokuwa anafanya bibie Badra Masoud.
Ushauri wa bure kwa Tanesco:
Tafuteni PR Manager ambaye ni Injinia wa Umeme na sio Badra tena yeye amesha prove Failure.
Kwa hali inavyoendelea watanzania tutakuja fanyiwa operesheni kwenye uwanja wa mpira kutokana na ukosefu wa umeme..................JK unatuua chimba makaburi tujizike wenyewe.