Bado nampenda sana

DA HUSTLA

JF-Expert Member
Mar 5, 2012
3,663
3,881
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila sababu za msingi na wala hapokei simu baadae ukimuuliza anasema alikua tight alishindwa kuja vile vile angepokea simu nisingemuelewa kabisa n.k.Nliamua nipumzike kidogo japo roho iliniuma sana na sikupenda hali ile itokee.Ilipita kma miez miwili bila kuwasiliana nae siku moja nikakutana nae mahali fulan hivi akiwa na rafiki yake ambaye ni mtu wake wangu wa karibu,sikupiga nae sana stori na yeye aliondoka mapema sana akaniacha na rafiki yake,nikapotezea ila wiki iliyofuata akanipigia simu tukawa tunawasiliana mara mojamoja,kwa kuwa nlikua bado nampenda basi ikabidi nirudishe mahusiano ila baada ya muda mfupi tukaanza kuyumba yumba tena.Tulivyokuja kuzinguana tena akanichana akaniambia mi ni mnafiki na hataki kuendelea na mimi tena,me skupenda afikie uamuzi huo mapema but alisema its over roho iliniuma sana mpaka sasa na nampenda sana nashindwa nifanyeje niweze kumsahau kila nikikumbuka baadhi ya mambo moyo unaniuma sana,wadau nisaidien nifanyeje???na ni mwanamke nliyefikiria tuishie kwenye ndoa.
 
anza kujua hasa huo'unafiki' uliomfanyia ni upi...
hapo ndp pakuanzia....
 
i sympathize kijana
ni jambo la kuleta maaikitimo pale mbapo unabwagwa na umpendaye....pia ni vizuri kukubaliana na hilo liliotokea pamoja na kwamba inauma.....kwa sasa bado utakumbuka mazuri mliyo fanya naye ila with tym ukali wa maumivu utapungua. jaribu kupunguza kumwazia ama kufanya au kuona vitu vitakavyo kufanya umkumbuke....patience is key hapa kaka
 
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila sababu za msingi na wala hapokei simu baadae ukimuuliza anasema alikua tight alishindwa kuja vile vile angepokea simu nisingemuelewa kabisa n.k.Nliamua nipumzike kidogo japo roho iliniuma sana na sikupenda hali ile itokee.Ilipita kma miez miwili bila kuwasiliana nae siku moja nikakutana nae mahali fulan hivi akiwa na rafiki yake ambaye ni mtu wake wangu wa karibu,sikupiga nae sana stori na yeye aliondoka mapema sana akaniacha na rafiki yake,nikapotezea ila wiki iliyofuata akanipigia simu tukawa tunawasiliana mara mojamoja,kwa kuwa nlikua bado nampenda basi ikabidi nirudishe mahusiano ila baada ya muda mfupi tukaanza kuyumba yumba tena.Tulivyokuja kuzinguana tena akanichana akaniambia mi ni mnafiki na hataki kuendelea na mimi tena,me skupenda afikie uamuzi huo mapema but alisema its over roho iliniuma sana mpaka sasa na nampenda sana nashindwa nifanyeje niweze kumsahau kila nikikumbuka baadhi ya mambo moyo unaniuma sana,wadau nisaidien nifanyeje???na ni mwanamke nliyefikiria tuishie kwenye ndoa.

Mdogo wangu huyu mwanamke hakufai kumuowa kwani humpendi! Inakuwaje mwanamke awe kama kombe la ligi, msimu huu huyu ,msimu ujao bingwa yule. Mwanamke unampenda huna wivu nae hata kidogo? Haiwezekani!
 
soma alama za nyakati . . kuna mambo mengne si lazima uambiwe wapaswa kuona na kuamua . kuna marekebisho na kuna karaha
 
Pole, ni kipindi chako cha kuumia.
Kubaliana nacho tu, ndo ushabwagwa tena.

Jiweke bize kupunguza muda wa kukaa aido.
Kama una kazi, kama unasoma, kwa kifupi divert nguvu za mapenzi kwenye kitu kingine.

Hakuna dawa ya kuumia moyo, ni muda tu.
Japo tunatofautiana, wengine hupona kwa mwezi, wengine mwaka, wengine miaka.

Kama ni mwamini, jitolee kazi za huko unakoamini, mradi uwe busy, ukikimbilia mahusiano mengine unaweza umia zaidi na kuumiza mtu mwingine bila sababu.

Pole, maumivu ya moyo yashinda msiba source banana zoro
 
NDO UNAANZA MAPENZI?....pole unahitajika kuumizwa kama mara tano ili ukomae vizur,laa sivyo utakuwa unaumia na kung'ang'ania pasiko ng'ang'anika..........:eek:
 
ooh !! so sad ,haya mapenzi yana lelta mtihaan, nakuonea huruma yoyote aliye achwa huwa ana feel the same as y feel ,ngumu kusahau ,ila swali sana kma muislamu omba dua ,ata kama cristian ,, omba dua m,mungu akusahaulishe kama huja mfanyia ubaya iko siku ata kutafuta huyo, ila pia keep bz yr self , n ngumu sana kumsahau mtu uliye mpenda for real pole sana ndio maisha ukiwa mkubwa alwayz utaface challege ..
 
ooh !! so sad ,haya mapenzi yana lelta mtihaan, nakuonea huruma yoyote aliye achwa huwa ana feel the same as y feel ,ngumu kusahau ,ila swali sana kma muislamu omba dua ,ata kama cristian ,, omba dua m,mungu akusahaulishe kama huja mfanyia ubaya iko siku ata kutafuta huyo, ila pia keep bz yr self , n ngumu sana kumsahau mtu uliye mpenda for real pole sana ndio maisha ukiwa mkubwa alwayz utaface challege ..

Anyway piga moyo konde utayashinda majaribu...angalia usijepotezewa muda ndugu yawezekana mwenye matatizo ni wewe jichunguze kwa makini na wala usimlaumu huyo dada. Ila pole sana vumilia.
 
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila sababu za msingi na wala hapokei simu baadae ukimuuliza anasema alikua tight alishindwa kuja vile vile angepokea simu nisingemuelewa kabisa n.k.Nliamua nipumzike kidogo japo roho iliniuma sana na sikupenda hali ile itokee.Ilipita kma miez miwili bila kuwasiliana nae siku moja nikakutana nae mahali fulan hivi akiwa na rafiki yake ambaye ni mtu wake wangu wa karibu,sikupiga nae sana stori na yeye aliondoka mapema sana akaniacha na rafiki yake,nikapotezea ila wiki iliyofuata akanipigia simu tukawa tunawasiliana mara mojamoja,kwa kuwa nlikua bado nampenda basi ikabidi nirudishe mahusiano ila baada ya muda mfupi tukaanza kuyumba yumba tena.Tulivyokuja kuzinguana tena akanichana akaniambia mi ni mnafiki na hataki kuendelea na mimi tena,me skupenda afikie uamuzi huo mapema but alisema its over roho iliniuma sana mpaka sasa na nampenda sana nashindwa nifanyeje niweze kumsahau kila nikikumbuka baadhi ya mambo moyo unaniuma sana,wadau nisaidien nifanyeje???na ni mwanamke nliyefikiria tuishie kwenye ndoa.


Dawa moja acha unafiki sio tabia ya kiume...then mfuate mwambie ulishaacha!!!
 
Pole, ni kipindi chako cha kuumia.
Kubaliana nacho tu, ndo ushabwagwa tena.

Jiweke bize kupunguza muda wa kukaa aido.
Kama una kazi, kama unasoma, kwa kifupi divert nguvu za mapenzi kwenye kitu kingine.

Hakuna dawa ya kuumia moyo, ni muda tu.
Japo tunatofautiana, wengine hupona kwa mwezi, wengine mwaka, wengine miaka.

Kama ni mwamini, jitolee kazi za huko unakoamini, mradi uwe busy, ukikimbilia mahusiano mengine unaweza umia zaidi na kuumiza mtu mwingine bila sababu.

Pole, maumivu ya moyo yashinda msiba source banana zoro
Kama vile wewe ulivyoniumiza,unazania nimesahau? Mwenzio bado naugulia!
 
Jaman wadau naomba mnisaidie kuhusu hili jambo,nlikua na mwanamke/mpenzi wangu nlikua nampenda sana kupita maelezo.Ikaja ikatokea akaanza kunibadilikia,visirani kila saa tukiwa na miadi haji bila sababu za msingi na wala hapokei simu baadae ukimuuliza anasema alikua tight alishindwa kuja vile vile angepokea simu nisingemuelewa kabisa n.k.Nliamua nipumzike kidogo japo roho iliniuma sana na sikupenda hali ile itokee.Ilipita kma miez miwili bila kuwasiliana nae siku moja nikakutana nae mahali fulan hivi akiwa na rafiki yake ambaye ni mtu wake wangu wa karibu,sikupiga nae sana stori na yeye aliondoka mapema sana akaniacha na rafiki yake,nikapotezea ila wiki iliyofuata akanipigia simu tukawa tunawasiliana mara mojamoja,kwa kuwa nlikua bado nampenda basi ikabidi nirudishe mahusiano ila baada ya muda mfupi tukaanza kuyumba yumba tena.Tulivyokuja kuzinguana tena akanichana akaniambia mi ni mnafiki na hataki kuendelea na mimi tena,me skupenda afikie uamuzi huo mapema but alisema its over roho iliniuma sana mpaka sasa na nampenda sana nashindwa nifanyeje niweze kumsahau kila nikikumbuka baadhi ya mambo moyo unaniuma sana,wadau nisaidien nifanyeje???na ni mwanamke nliyefikiria tuishie kwenye ndoa.

ni rais mno broo, ondoa mawazo yako juu yake na jitaidi kufikiria juu ya maisha yako ya baadae wanawake wendawazimu sana,mtu anakua na mme au mke na awo watu waliapa mpaka kifo kiwatenganishe lakini kabla ya kifo wanatengana,awo ni mke na mume itakujakuwa gf tu,me binafsi ilinitokea hali kama yako lakini nkapiga moyo konde mbna baadae nlikuja ona kama nlikua nimefungwa na mashetani, kaka kutoka kwangu nia ayo tu.
 
Back
Top Bottom